Search results

  1. M

    Mwongozo utumishi nisaidieni sielewi

    Wadau naombeni mwongozo. inachukua mchakato gani kwa mwajiliwa mpya kuanza kupata mshahara. mfano mtu aliyeajiliwa tangu february 2015 na utumishi mpaka leo april 26 2015 hajapata mshahara wala hiyo check namba inakuwaje? asanteni
  2. M

    Mwongozo wa utumishi wa umma

    wadau naomba msaada. hivi inakuwaje mtu aliteajiliwa tangu february utumishi mpaka leo hajapata mshahara. inachukua muda gani kwa muajiliwa mpya kupata check namba? naombeni msaada wenu
  3. M

    Uwezekano wa kuhama Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

    asante sana kwa ushauri. nitahama faster.
  4. M

    Uwezekano wa kuhama Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

    mi nina miezi sita sasa toka nimejitoa kwenye mfuko flani. na sasa nimepata kazi serikalini naweza kuhamia mfuko mwingine? na ni mfuko gani mzuri kiuchangiaji na mafao naomba ushauri wenu wadau
  5. M

    Matokeo ya usaili TFDA

    wadau waliofanya usaili TFDA kuna mtu yeyote mwenye taarifa ya Matokeo ya usaili uliofanyika DUCE tar 24/1/2015?
  6. M

    Barua za kuitwa kazini utumishi

    Asanteni wadau. mi niko DSM nitaenda Utumishi leo
  7. M

    Hatimae nimepata kazi baada ya kumaliza chuo

    Barua niliandika kwa mkono, ila cv nilitype. pomoja na barua pia kikubwa ni maandalizi na kusoma maana interview zote written na oral wanauliza maswali ya proffessional
  8. M

    Hatimae nimepata kazi baada ya kumaliza chuo

    hongera sana. kweli nimeamini utumishi ni taasisi huru. mimi pia namshukuru MUNGU nimeitwa kazini baada ya kusota mtaani tangu 2008. ndugu na jamaa walikuwa wakinibeza kuwa nimesomea fani mbaya isiyo na ajira ila siku kata tamaa niliendelea kuaply na kumuomba Mungu. hatimae nami nimepata kazi...
  9. M

    Waajiri na na BODi mbalimbali-CPA,ACCA,NBMM...... Etc

    mtoa mada uko sahihi nadhani ifikie hatua bodi isimamie ajira za cpa holder vinginevyo professional ya uhasibu inadhalilishwa
  10. M

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    acha hzo,mi swahil medium ila ufaulu wang tang primary hadi chuo nakuzid san.sijafanikiw ajira gov ila private wanakubal
  11. M

    Natafuta mpenzi wa kike, kutongoza nashindwa.

    kwa kuwa hoja yako umeipost huku, andika na ujira, utawapata wakukusaidia kutongoza maana watu tuna stress za ajira.
  12. M

    Wanaoutaka urais 2015: Yupi anafaa?

    asante sana kaka Ezra kwa kuweka mambo bayana, mi mwenyewe natokea B.mulo najua fika chuki za magufuli zilipotufikisha wana Biharamulo. Wilaya inadorora kila siku, miradi ya barabara inajengwa bila kuisha mara utaskia wakandalasi wamesimamishwa. Huyu mtu hafai kuwa raisi hata kidogo maana ni...
  13. M

    Chama cha Madaktari Tz chawasilisha maombi UN ya ulinzi kwa viongozi wake

    na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito. Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza...
  14. M

    Mshahara wa wabunge wapanda mpaka 11,000,000/-

    kaka Genecius Kaiza, Tanzania yetu haina usawa. Wabunge wanajidai kutetea maslahi ya wananchi kwa kupoteza muda kurumbana Bungeni. Tena wakiwa wanasema pumba muda unaongezwa mtu akiongea point analazimishwa kukaa chini na akikaidi afande amtoe nje. Tanzania ni zaidi ya unavyoijua kaka...
  15. M

    Mh. Mabumba, Mh. Manyanya & Mh. Mwigulu, Msituharibie CCM yetu!

    du hongera sana mtoa mada kwa uchambuzi yakinifu, binafsi walinikera sana hata mtoto mdogo wa miaka mitano hadi kumi anaweza kuona mbichi na mbivu bungeni. Wabunge wanasahau kuwa bunge la sasa si sawa na la mwaka 47, wananchi kote vijijin na mijini wanasikiliza na kuangalia bunge. Ukiongea...
  16. M

    Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

    ki ukweli Mirindimo habari yako wengi hatukuielewa hasa wale wenye aleji na taarifa za Tbc 1, ungetuambia kuwa ikulu inametengua ukweli kuwa uongo. Asante Radhia umemsaidia mtoa mada kidogo kueleweka.
  17. M

    Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

    ki ukweli Mirindimo habari yako wengi hatukuielewa hasa wale wenye aleji na taarifa za Tbc 1, ungetuambia kuwa ikulu inametengua ukweli kuwa uongo. Asante Radhia umemsaidia mtoa mada kidogo kueleweka.
  18. M

    Tamko fupi la Jumuiya ya Madaktari - Juni 28, 2012

    wavivu wa kufikir ndio wanaoshabikia mgomo wa madactari, binafsi siwaungi mkono hasa hao wa muhimbili baadhi yao ni wauwaji wakubwa wapo kipesa zaidi, sitosahu siku moja nilipoenda kujifungua muhimbili mwaka 2010 mwezi february. Nikiwa nagugumia maumivu docta mmoja jina ninalo akaanza kunitukana...
  19. M

    Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

    du mi kila siku nakushangaa hivi kaka yangu Nape hujui kuwa ni bora kukaa kimya kuliko kuongea pumba? Binafsi sina chama na sipendi kuwa na chama chochote, ila mara nyingi kauli zako zimekuwa na utata kama kweli wewe ni mtanzania mzalendo au ni ccm bila utanzania. Wakati wananchi tunaumia kwa...
Back
Top Bottom