"ndugu wana Arusha kuanzia Leo natangaza Kuwa Tanzania kuna Jamhuri huru ya watu wa MERU. Mimi ndiyo Rais wa watu wa MERU na Lema ndiyo waziri mkuu. Tunamwambia kikwete Kuwa tuna andaa utaratibu wa kumpiga marufuku Kuja Arusha, tutaziba njia zote asije huku." Joshua Nassari , MB Arumeru Mashariki
Home Habari Habari za Siasa UVCCM Mkoa wa Arusha waanza kufukuzana
BOOKMARK THIS PAGE
UVCCM Mkoa wa Arusha waanza kufukuzana
Send to a friend
Wednesday, 25 April 2012 20:19
0digg
Peter Saramba, Arusha
HALI ndani ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa (UVCCM), Mkoa wa Arusha...
Uvccm mkoa wa Arusha wafunga Ofisi ya vijana mkoani hapo kushinikiza katibu wa uvccm mkoani hapo aondolewe pamoja na vibaraka wote wa fisadi Edward Lowasa. vijana hao wamechukizwa na kitendo cha abdallah Mpokwa ambaye ni katibu wa vijana mkoani hapo kutumika na fisadi Edward Lowasa. Edward...
Uvccm mkoa wa Arusha wafunga Ofisi ya vijana mkoani hapo kushinikiza katibu wa uvccm mkoani hapo aondolewe pamoja na vibaraka wote wa fisadi Edward Lowasa. vijana hao wamechukizwa na kitendo cha abdallah Mpokwa ambaye ni katibu wa vijana mkoani hapo kutumika na fisadi Edward Lowasa. Edward...
Uvccm mkoa wa Arusha wafunga Ofisi ya vijana mkoani hapo kushinikiza katibu wa uvccm mkoani hapo aondolewe pamoja na vibaraka wote wa fisadi Edward Lowasa. vijana hao wamechukizwa na kitendo cha abdallah Mpokwa ambaye ni katibu wa vijana mkoani hapo kutumika na fisadi Edward Lowasa. Edward...
Kundi Kubwa la vijana wa CCM Mkoa wa Arusha leo Alfajiri limefunga ofisi ya vijana mkoa wa Arusha kudhinikiza katibu wa vijana mkoani hapo afukuzwe mara moja. Katibu huyo aitwaye Abdallah Mpokwa anatuhumiwa kutumia hela za fisadi wa Richmond ambazo zilitolewa juzi na Fred Lowasa kupitia Ally...
Jamani hii siasa wanayo icheza CCM ya Leo ni ya ajabu sana. Maana itakumbukwa kwenye Kikao cha kamati ya siasa ya Mkoa wa Arusha cha kujadili wagombea ubunge wa Arumeru Mashariki, wajumbe wa Kikao walimwomba RC wa Arusha awapelekee nyaraka mbalimbali kuhusu ufafanuzi wa masuala ya rushwa na...
hii siasa wanayo icheza CCM ya Leo ni ya ajabu sana. Maana itakumbukwa kwenye Kikao cha kamati ya siasa ya Mkoa wa Arusha cha kujadili wagombea ubunge wa Arumeru Mashariki, wajumbe wa Kikao walimwomba RC wa Arusha awapelekee nyaraka mbalimbali kuhusu ufafanuzi wa masuala ya rushwa na uraia wa...
hii siasa wanayo icheza CCM ya Leo ni ya ajabu sana. Maana itakumbukwa kwenye Kikao cha kamati ya siasa ya Mkoa wa Arusha cha kujadili wagombea ubunge wa Arumeru Mashariki, wajumbe wa Kikao walimwomba RC wa Arusha awapelekee nyaraka mbalimbali kuhusu ufafanuzi wa masuala ya rushwa na uraia wa...
Meseji za komredi Lowassa zanaswa
Chadema kumng'oa mgombea ubunge CCM, mikakati yasukwa
Wengine kortini, meneja kampeni asema ‘nilijua tu'
Na Waandishi Wetu, Arusha, Dar
WAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiwa kimempitisha mgombea wake wa ubunge Arumeru Mashariki, Siyoi...
Takukuru Leo wameamua kumgeuka Edward Lowasa na vibaraka wake katika marudiano ya uchaguzi wa Arumeru. Katika sakata Hilo katibu wa UVCCM wilaya ya Monduli ndugu Ezekiel Mollel ametupwa rumande Mara baada ya kukamatwa na simu yake ilipo pekuliwa na kukutwa na mesej alizokuwa Akiwasiliana na...
Maamuzi ya kamati kuu ya Leo yawavuruga Millya, Ester Maleko, Ally Bananga na Sioi. Hayo yalidhihirika Leo kwenye Kikao chao walichokifanya kwenye moja ya kata za jimbo la arumeru Mashariki. Kikao chao wameseama watapambana kufa na kupona hadi Sioi ashinde tena. Wanasikitika sana kwa ccm...
Maamuzi ya kamati kuu ya Leo yawavuruga Millya, Ester Maleko, Ally Bananga na Sioi. Hayo yalidhihirika Leo kwenye Kikao chao walichokifanya kwenye moja ya kata za jimbo la arumeru Mashariki. Kikao chao wameseama watapambana kufa na kupona hadi Sioi ashinde tena. Wanasikitika sana kwa ccm...
Masikini James Kinyasi Millya aumbuka Arusha. Ni Yule mwenyekiti wa vijana wa ccm Mkoa wa Arusha ambaye alifeli mtihani wa kidato cha pili pale moringe sekondari mwaka 1997. Mzungu aliyekuwa anamlea alimuokoa na kumpeleka Uganda.
Vijana wa Arusha Jana walimzomea na kumwaMbia atafute ajira na...
Kweli wajinga ndo waliwao, Lema na chama chake hawahudhurii vikao vya madiwani manispaa ya arusha zaidi ya kuchukua posho tu. Kazi ya kutetea rasilimali za manispaa ya arusha inafanywa kwa uzalendo mkubwa na Mkuu wa Mkoa Magesa Mulongo Mpiganaji wa kweli wa vita ya wanyonge.
Alikwenda...
Kweli wajinga ndo waliwao, Lema na chama chake hawahudhurii vikao vya madiwani manispaa ya arusha za ya kuchukua posho tu. Kazi ya kutetea rasilimali za manispaa ya arusha inafanywa kwa uzalendo mkubwa na Mkuu wa Mkoa Magesa Mulongo Mpiganaji wa kweli wa vita ya wanyonge.
Alikwenda manispaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.