Nimemuachia ukumbi bwana mkubwa ajiachie, nilitaka niweke record sawasawa, nashawishika kuwa huenda kuna decision makers/policy makers au wale ambao wana influence maamuzi ya nchi/serikali wakapita hapa kunyakua mawili matatu, ni vyema kuelezea kiini cha tatizo (course) (proactive) halisi...
The Bold,
Hongera kwa makala nzuri na yenye uchambuzi wa kina. Nina uelewa kiasi wa masuala ya ugaidi na mashariki ya kati, na naomba nichangie kidogo uelewa wangu wa kiini cha ugaidi as far as Osama and Al Quade they are concerned.
Chanzo
Ni vyema tukaanza kuelezea chanzo cha Mujahedeem...
Anadhan JPM kamnyoosha kwa sbb ya mapungufu yake ya Moro? Pole zake....masikio hayazidi kichwa, watu wana reference za madudu yake tangu akiwa DC....
Amu-consult mpwa wake Mkwere ambaye amekua anampa kiburi, awe bwana shamba wa Mananasi yake kule Msoga.
There is this book AREA 51, by Annie Jacobsen, it gives the insights of Area 51, mimi ninacho nimekimaliza juzi tu, its a nice book kama ni mpezi wa masuala hayo, avail yourself with that. ila kwa kifupi, Area 51 did exist ni mwendelezo wa R&D CENTERS ambazo they are at the heart of US development.
Naona mnamung'unya maneno tu....
Amna haja ya kumtetea/kuwatetea....
The guy aliendekeza mno udini....and its wide open...afu akawa ana bebwa bebwa na top manyota wa enzi, na kudharau watu, akiwemo JPM...kwanza anabahati, ilibidi afurumushwe kama Madeni Kipande tu, wee na Phd yako unaendekeza...
Ndio maana watt wa kiarabu usku walikua wanatusumbua sana mitaa ya Coco na magari yao ya mabilioni kasorobo? Mamamaayee zao, anko Magu zaa nao hawa mbere kwa mbere.....
Mkuu.....
Hawa ukawa wanaweweseka kusikia jina la JM ubaoni...wanasaka pa kutokea.....yule maamuzi magum hana na hana guts za kwenda popote coz anajua atakua anapoteza mda wake tu. Wafuas wake ni wafuas njaa...wanamin ktk fedha yake lkn sio itikad na uadilifu wake ambao ndio msing....
wanafiki bana.....et wana pump ahamie upinzan lakin sio cdm....asa ka ni potential kwa nn mnamlazimisha aende tu act? Ili apunguze kura za CCM....? That will never happen, simply kwa sbb chaguo la JM weng hawakulitegemea ad ukawa wenyewe wame retreat wajipange.
Wafuas wa lowassa wengi ni mangi...
jeuri ya luwasa n ndan ya ccm and not otherwise...ahamie huko aone maajabu mengine zaid ya kulaza kura....hata ujumbe wa nyumba kumi atausikia kwenye Redio Maria.
. Atulie aendelee kutufulia makoti pale Alpha. Shikamoo sistem.....
Daah...jamaa nikikumbuka ile video alivo kuwa anaongea kwa mbwembwe na kujidai sikudhan kama angekuwa mdg hivi na kujifungia...chezea serikali wewe😃😃😃 kama njaa vileee...hata uwe baunsa lazima uombe pooo.....wacha wamnyoooshe tu, amna namna nyingine sasa... hamna haja ya...
Hongera kwa post nzuri.....daah...kama vile na ww ni mdau vile wa ndani wa haya mashirika ya kijasusiiii!
Hiz excerpts ni kutoka kitabu au movie gani umezipata?
isil poses a serious threat kwa ukanda wetu. Kupitia al shabab wana recruit vijana wadogo sana na kuwapeleka somalia na syria. Everyone should note and take measures to combat that. Unles otherwise tutapigwa mabomu hapa hadi tuimbe haleluya
Tehteh....hata wahubiri kwa waganga wa kienyeji...hiyo katiba yao itapita tu....mistake kubwa waliyofanya ukawa ni ku walk out tu kule dodoma bungeni.. Baaaasi...hizi zingine porojo tu....subirin miujiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.