Dogo
Dogo soma hapo chini utaona kwa nini jiji linajengeka kwa kutumia mradi wa DMDP..ukipenda fanya tafiti zaidi. Asante na acha uvivu wa kutafiti kabla hujauliza.
Kuhusu Mradi wa Kuendeleza Jiji la Dar es Salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project)
1. Utangulizi
Katika Mwaka wa fedha 2012/13 Serikali ilibuni Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project – DMDP) ikiwa ni kutekeleza ilani ya Chama...
Chinembe wakati mwingine tuijadili na CCM yetu basi au kwa sababu tunakatazwa ku-challenge fikra za mwenyekiti wetu? Si unaona gharama za maisha zilivyopanda ndani ya utawala wa sisi wenyewe wala sio ACT? Anyway kama wanavyokuelezea wanazi wa CHADEMA hapo juu. Ruzuku zinatokana na uwingi wa...
Unajua sisi wanachama wa Chama cha Mapinduzi haturuhusiwi kutofautiana na mtizamo na maamuzi ama maazimio ya Chama hata kama yanaumiza kama unavoona katika mtandao huu WA JF. Ila kupunguza hasira za kutokupata wasaa wa kutema nyongo ndio tunapata fursa ya kuongelea CHADEMA kila kukicha na sio...
Correction Zanda
Kaka Muhimbili Mlogazila zamani MAMC ilishahama toka 2020 kutoka Kisarawe kwenda Wilaya ya Ubungo. Hivyo rekebisha hiyo Kisarawe kwenda Ubungo. Asante.
Maguu...kikubwa ifuatwe sheria ya ukamataji tuu..mbina wamepeleleza hadi kujua kuna madawa ndani..wanashindwa nini kufuata kanuni za ukamataji. Search warrant na ushahidi wake wote..mamana ndio sheria. Polisi wapunguze mazoea tuu katika kazi tuwapate na hatia.
Mama Clara hujachelewa...wadau wengi.sana wamekuelezea juu ya Usonji au autism.
Hata jirani yangu mwanae anatatizo hilo na huanza kwa mtoto akiwa miaka miwili.
Wako ana hali nzuri sana sana..mpeleke kwa madaktari wa watoto wa magonjwa ya vichwa au Neurology Muhimbili National Hospital ka upo...
Naomba TANESCO inurudishie unit zangu tatu ambazo wamekata.hapa. Ukupiga hesabu ya makato unapata elfu ishirini na nne..elfu moja nzima mmeikata pasipo na sababu na haijulikani imekwenda wapi.
Naomba unipatie. ibu ama namna ya kuwasiliana.na watoa token za luku muamala huo hapo nilipata kupitoa...
Kaka ile silaha haijadhibitishwaa pasipo shaka kama ilikutwa kwa watuhumiwa maana Polisi walibugi hawajachukua finger print ku identify ilegal possission of the fire army. Wangechukua ushahidi wa kushikwa kwa silaha kutoka kwa mtuhumiwa ingebainika kweli alikamatwa nayo. Mawakili walishauliza...
Kiongozi NewOrder nimeipenda analysis yako kiasi chake. Nikukumbushe tu kwa upande wa silaha na madawa mashitaka hawajaweza kuthibitisha kukutwa navyo watuhumiwa wakiwa eneo la tukio. Namaanisha hawajafanya forensic investigation ya kubaini kama ilikutwa kwa mtuhumiwa km vile kuchukua finger...
Ni kweli watafungwa kama ni mipango ya Serikali iwe hivyo ila hawana hatia kulingana na mwenendo wa kesi. Ila jaji akiamua atawafunga tu nje ya hatia. Ila ujue ili mahakama ikufunge lazima iwe na hatia ya wazii nje ya wingi la mashaka kabisa ambapo kwa kesi hii mmmh hata haionekani kabisa.
Babu Kijana..makosa ya huyo bhana Sabaya ameyafanya nje ya Wilaya yake kikazi..ndio maana ameshitakiwa nje ya Mkoa wa Kilimanjaro. Ila ukuu wake wa Wilaya hakutakiwa uvuke Hai. Makosa ya mashitaka ni uhalifi alioufanya ama kuwafanyia wakazi wa Arusha tuu. Labda Hai watakuwa na mashitaka yao baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.