Kuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
Sijaandika kwa chuki kama udhaniavyo.sio mara moja huyu mtu ameingia matatani na kila akibanwa basi itapigwa simu kutoka juu,kuna siku tena pale science akakamatwa na police wakiwa na tra mzigo wake ukiwa kwenye canter flani hivi nyeupe ulikua umetoka kwa hao hao wachina wanaojiita hiview...
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.
Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekuwa tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara...
Mambo kama hayo ndio yanayofanya watu wengine tuupotezee huu uzi,ukitoa mawazo yako ambayo yako against na ya mwingine unaonekana uko aggressive. Mwisho wa siku tumeamua kuwaachia wenyewe waendelee kupeana comments wanazozitaka.
Hizi ulizoandika wewe ni elements za income statement, balance sheet,cash flow etc.swali lilikutaka uandike elements za financial statements ambazo obvious huwa ziko 5 ambazo ni income statement, cash flow,owners equity statement, notes to financial statements na balance sheet.
Wahasibu...
Mkuu,ulikua na paper nini?
Haya majibu yako sahihi 100%.
Hili swali watu wengi watakua walijichanganya,limekaa kimtego sana.
Halafu ujinga wa Psrs watu wanajiandaa na vitu vigumu,wao wanawaletea tuvitu ambavyo hawakuvitegemea kuvikuta.
Hao iringa university sikushauri hata kuwafikiria.wana njaa balaa,wanategemea ada za wanafunzi kulipa mishahara,imagine sasa hivi tunavyozungumza tangu mwezi wa 8 mpaka leo hawajalipwa mishahara yao.
Wana maisha magumu mno kwa kifupi.
Ingekua ni RUCO au SAUT ningekushauri uende ila iringa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.