Search results

  1. Perry

    Yuko wapi Daniel Chongolo aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM?

    Hivi kupokea maboga ni dhambi?
  2. Perry

    Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

    Hi people
  3. Perry

    Hivi hawa walinzi wa viongozi huwa wakoje kwenye mahusiano?

    Kuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number. Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
  4. Perry

    Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

    Kwani kuumwa ndio kufa? So hayo madanga yake ya zamani yamemkimbia kisa kuumwa au?
  5. Perry

    DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

    Balaa,na wale maofisa tayari wamekwisha kuhamishwa vituo vyao vya kazi.wamepelekwa mikoani huko.
  6. Perry

    DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

    Sijaandika kwa chuki kama udhaniavyo.sio mara moja huyu mtu ameingia matatani na kila akibanwa basi itapigwa simu kutoka juu,kuna siku tena pale science akakamatwa na police wakiwa na tra mzigo wake ukiwa kwenye canter flani hivi nyeupe ulikua umetoka kwa hao hao wachina wanaojiita hiview...
  7. Perry

    DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

    Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia. Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekuwa tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara...
  8. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huyo jamaa amecomment nini kibaya mkuu? Au mwenzetu uko desperate na ukosefu wa ajira?
  9. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mambo kama hayo ndio yanayofanya watu wengine tuupotezee huu uzi,ukitoa mawazo yako ambayo yako against na ya mwingine unaonekana uko aggressive. Mwisho wa siku tumeamua kuwaachia wenyewe waendelee kupeana comments wanazozitaka.
  10. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unatudanganya bana Financial statement ni rekodi zilizoandikwa zinazowasilisha shughuli za biashara na utendaji wa kifedha wa kampuni.
  11. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Jiridhishe by passing through this document
  12. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ebu pitia hiyo document mkuu,then utajua which is which.
  13. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Angalia usije ukawa surprised matokeo yakitoka mkuu.majibu ya hilo swali sio hayo unayoyalazimishia.
  14. Perry

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizi ulizoandika wewe ni elements za income statement, balance sheet,cash flow etc.swali lilikutaka uandike elements za financial statements ambazo obvious huwa ziko 5 ambazo ni income statement, cash flow,owners equity statement, notes to financial statements na balance sheet. Wahasibu...
  15. Perry

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Mkuu,ulikua na paper nini? Haya majibu yako sahihi 100%. Hili swali watu wengi watakua walijichanganya,limekaa kimtego sana. Halafu ujinga wa Psrs watu wanajiandaa na vitu vigumu,wao wanawaletea tuvitu ambavyo hawakuvitegemea kuvikuta.
  16. Perry

    Nihudhurie usaili upi kati ya hizi mbili?

    Hao iringa university sikushauri hata kuwafikiria.wana njaa balaa,wanategemea ada za wanafunzi kulipa mishahara,imagine sasa hivi tunavyozungumza tangu mwezi wa 8 mpaka leo hawajalipwa mishahara yao. Wana maisha magumu mno kwa kifupi. Ingekua ni RUCO au SAUT ningekushauri uende ila iringa...
  17. Perry

    Hii status ya HESLB ina maana gani? Au ndiyo nimwandalie dogo ada mapema tu?

    Nadhani alichaguliwa kozi isiyo ya kipaumbele.
  18. Perry

    Hii status ya HESLB ina maana gani? Au ndiyo nimwandalie dogo ada mapema tu?

    Huenda kozi uliyochaguliwa haikua priority mkuu.
Back
Top Bottom