Ungejuwa Mama ni fundi usingeongea hivyo , Jambo la kumfurahisha kila MTU ndio niya ya Kiongozi Bora , matendo yako tuu yatakayo Fanya usifurahie kila Jambo, kama huendani na matakwa na Sheria za Nchi
Ninachokiona hapo ni kuwa tumeruhusiwa kijadiliana tuu , lkn Hakuna Ubaya kwa Kiongozi kama hawa Kupewa Zawadi wamefanya Mengi na Wamekumbana na Mengi wakati wakitimiza majukumu yao ktk Uwongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.