Simba hali mzoga, mzoga wako utaliwa na fisi na ndege.
Kumbuka kuacha fedha za kusafirisha mwili wako huko mbugani, siyo unakufa halafu unawapa watu mzigo wa kutafuta pesa za kuwapelekea fisi kitoweo.
Nifanye biashara gani? Nipeni wazo la biashara, nina mtaji wa milioni mbili nifanye biashara gani? Naomba wazo la biashara, biashara gani inayolipa?
Haya ni maswali ambayo watu wengi hasa vijana wamekuwa wakiuliza au kuomba ushauri kupitia mitandao ya kijamii.
Kuomba wazo la biashara mtandaoni...
Siku moja ya mwaka 2005 sikumbuki tarehe wala mwezi mwalimu wetu mmoja aliingia darasani na gazeti lililokuwa na hotuba ya Bilionea Rupert Murdoch Mmarekani mwenye asili ya Australia na mmiliki wa vyombo vingi vya habari.Hotuba hiyo ilikuwa na mada isemayo 'nafasi ya magazeti katika...
Habari ya wachezaji wa Simba Clatous Chota Chama raia wa Zambia ambaye amenunuliwa na klabu RS Berkane ya Morocco na Jose Luis Miquissone raia wa Msumbiji ambaye amenunuliwa na Klabu bingwa ya Afrika AL Ahly ambao wamenunuliwa kwa mabilioni ya fedha inatukumbusha umuhimu wa kuwaanda wachezaji...
Tukashuka chini tukakubaliana twende na moto wa kuni tukapanda nao,tukaichoma dawa ikawaka na kuteketea wakati nainama kuchukua majivu,akatokea nyoka mweusi mkubwa akawa anatoka upande mmoja akawa kama anatufuata ,niliinuka ghafla nikawa nataka kurudi kwa nyuma nilistuka sana lakini yule...
Inaendelea
Baadhi ya watu hasa washika dini najua nawakera lakini simulizi kama hizi mnaweza kuziepuka kwa kutokuzisoma.
Ila msibague dhambi hata zingine msiwe mnazifanya maana kuna kiongozi mmoja mkubwa sana wa dini hapa Tanzania anatembea na mke wa mtu
Nilionana na mganga nikamueleza...
Inaendelea
Nilifika Songea na kuanza kufanya biashara ya kununua na kuuza mahindi nilijichanganya na wazoefu biashara ikawa inaenda poa, pale nilipokuwa nimepanga kulikuwa na nyumba kama nne kwenye eneo moja kulikuwa kama kota,walipanga wafanyakazi na kuna jamaa wengine nao wafanyabishara wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.