Nuru ya kweli by Lady Jay Dee. Huu wimbo ntaupataje? Baadhi ya maneno ni ''ndoa yetu idumu, maishani zote siku, mola yu kati yetu, katu hatoweza mtu..."
Napenda pilau, wali maharage, ndizi nyama za kichagga, ugali na mboga za majani zilizochanganywa na nyama, wali samaki, wali nyama/kuku, makande ya nazi siku moja moja, ugali na dagaa zenye bamia na nyanya chungu,
kwa breakfast mkate na mayai ya kukaanga (spanish), sausage, vitumbua, maandazi...
Kuna mengi nakubaliana na wewe Lara 1. Kwa kweli sioni sababu ya kunyanyapaa, kukejeli, kuwadharau wanawake ambao eti hawajaolewa kufikia 30, 40 na kuendelea. Wengi wao, hawakupenda hiyo hali ila imetokea tu kwa bahati mbaya. Na sio kwamba hawakuolewa kwa sababu wana matatatizo yoyote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.