Wana JF,
Jamani hii kauli ya Lowassa kwamba yeye na Kikwete hawakukutana barabarani, halafu hakuongea chochote kuhusiana na dhana ya Kujivua gamba ina ujumbe gani kwa kijana Nape? NAPE; LOWASSA NA KIKWETE HAWAJAKUTANA BARABANI. Nawasilisha wadau
Wana JF, Hivi kweli tunapofikiria suala la maendeleo ya nchi yetu itawezekana kwa aina ya viongozi tulionao? nimekuwa nikifuatilia baadhi ya nchi zilizopiga hatua kimaendelea duniani zimekuwa na vipaumbele vya kutekeleza na hasa upande wa miundo mbinu. Ni pale tu miundo mbinu inapokuwa vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.