Mtazamo mzuri sana.
Nami naona sahihi sana kuziacha wilaya zijiendeshe, serikali kuu iwe regulatory organ vitu visije vika escalate.
Viongozi wachaguliwe, na mfumo wa kuwawajibisha uwe rahisi.
Hwa mnanifurahisha.
Mnabishania dini kana kwamba zenu. Kumbe za kuja tu,
Ivi nyie mlishawai fikiria mngekuwa mmezaliwa mkakuta familia zenu ni dini tofauti na ulionayo sasa, ungekuwa kada kama ulivyo sasa sema kwa dini nyingine.
Tusijitese namna hiii.
Kitabu chake bado sanaaaaa. Ukikitoa sasaivi itabidi utoe na sehemu ya pili ya kitabu baada ya yeye kufariki (kama atafariki) maana kuna masomo mengi sana bado anayaendeleza
Maandalizi yapo. Huwaoni wakina nape wako pale wametulia???
Na mwenye kazi yake anaweka watu wake anao waamini kuendesha hiyo taasisi ambayo imekuwa familia .
Easterners ni magenius kitambo. Na long game ndio jambo lao.
Usifikiri russia imeshindwa kumaliza vita na ukraine. Ni mchezo tu.
Awali Russia ilikuwa inauza dolla na kununua gold. Sasa naona anaendeleza kufanya hivyo, hivi sasa akitumia vikwazo kuwa fanya wanunue ruble na kuipandisha dhamani...
Asante kujua. Umefungua macho yangu na kuweza kufikiria mbali zaidi.
Je, mafuta ya nazi ambayo hupatikana kwa hukamuliwa/kupikwa na matumizi huwa kupaka ila haibadili kuwa ni mafuta kwani pia hata tui lake hupikia. Yanaweza tumika kama mafuta ya kupikiaa???
Asante.
Wow, nice. Imekaa safi. Ntaisoma tena niichambue.
We are so thankful for you to share the contents with us.
I had thought of content a bit, any one can look at it here,
( Nini kifanyike kuboresha mtaala wa elimu )
Tena, tunashukuru. Imetuongezea jambo katika fikra zetu.
Naweza sema si kweli.
Kwasababu mtaala wa ugerumani ni tofauti kabisa na wa uingereza. Ujerumani uko kinyuma cha uingereza.
Mfano; uingereza unapewa fomula ukokotoe.
Ujerumani unaanza kukokotoa, mnachanganua mpaka mwisho mnapata fomula.
Scandinavia uko nako mtaala wao tofauti, na utofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.