Watumiaji wengi wa iPhone hapa Bongo hawajui fahari ya hii simu. Ni kama wanajitoa akili au akili zenyewe hazipo. Sikuhitaji iPhone kwa sababu ya security ila nilitaka kufahamu raha yake. Mwisho wa siku nikajikuta ni kama mfungwa.
Mkuu umenikumbusha wale wakimbizi kutoka Syria waliokuwa wanataka kuingia inchi moja ya ulaya. Askari wa mpakani wa hio nchi ya ulaya walikuwa wameshika nguruwe aka kiti moto badala ya kushika mbwa. Wakimbizi wakagwaya kusogea mpakan[emoji16] kuna watu wabunifu sana.
Hii habari majanga. Iweje trucks zipakie alshababu na vilipuzi vyenye nguvu kiasi ambacho viliweza kuuwa KDF waliombali lakini alshababu wakaendelea kushambulia kwa kutumia zana mbalimbali. Siwapendi magaidi ila ume decorate sana.
Kama yule Doctor wa Kenya, alikuwa ndio tegemeo pale Hospital hata kama yuko nyumbani ikitokea issue kubwa kazini wanamuita kazini. Uhakiki wa vyeti ulikuja mpeleka police.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.