da kumbe mtu ukifikiri ni we mwenyewe umekumbwa kumbe wapo wengi.ila nimegundua ukiwa mwaminifu ni nadra sana kupata mwaminifu mwenzako labda Mungu ukupendelee pole mwaya ungekuwa cheater najua usingeumia hivyo ndo dunia yetu
kama kiatu ni dollar 1000 sio kwao kwa sababu mume wake amesema ndo anayomtumia kwa hiyo unataka kusema ye amenunua kiatu tubila kufanya mengineyo?thread ya mtoa mada sio wa class hiyo na majibu yangu yalimlenga yeye hayakukulenga wewe na matajiri wengine wenye kununua kiau cha milioni na laki sita
du kumbe ndo mana kuna watu hataki tena kuingia kwenye forum.baadhi ya watz tuna wivu na roho mbaya tena hazifichiki soma jicho 3 na mwita God forbid hujafa hujaumbika bandugu zangu
you musst always be yourself ukitaka kujibadili utajikuta unaangamia manake utafanya usiyojua ukifikiri uko kwenye track kumbe ndo unapotea tme will tell mumy just relax.
mmmmh hi thread ina uwalikini hivi kwa maisha yetu bongo milioni moja unafanyia nini hata kama foleni ya dar?Tufanye count down ndogo,petrol 300,000 sokoni 120,000 housemaid 100,000,miscelleneous 200,000 laki nane roughly sasa huyo milioni 2 tena ana mshahara?either anajenga kwao au ana mwanaume...
kesi haijaanza kusikilizwa jamani wamesomewa tu maelezo ya awali tarehe 24 ndo itaanza kusikilizwa kilichochomwa ni maandishi ya kiarabu kwa wanaojua yanaitwa kombe
katika maisha yangu nimeona wasichana wengi ambao kimaisha wanajiheshimu either hawaolewi au wanachelewa kuolewa lakini wengi wahuni ninaowafahamu wengi wanaollewa why this?
ha kumbe una mke ndo mana ulihonga pesa nyingi hivyo ningeshangaa manake bachelors huwa hawaongi kirahisi hivyo.kama vile ambavyo umepoteza imani kwetu na mimi ni hivyo hivyo nimepoteza imani kwenu
bravo that is a reall testmony and he knows nothing about judiciary si unajua alivyokaa nje muda mwingi?WAMEACHA MTU AMBAYE ANGERUDISHA HESHIMA YA OFICE KAMA SAMATTA God forbid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.