Suluhisho hapa ni kuwa na serikali moja tu. zanzibar iwe mikoa kama ilivyo ya Tanzania bara. serikali tatu hazitatekelezeka ni kama kuvunja muungano tu. sasa hivi fedha (bajeti) haitoshi, itakuwaje serikali ya muungano isiyokuwa na mapato yake itegemee serikali hizi zisizojitosheleza? nani...
Ustawi wa ndizi uko related na certain weather ambayo missionaries waliipenda hivyo wakajenga mashule na wakapata fursa za kusoma mapema na huduma zingine. scientifically proteins ndo inajenga brain. so to say wala samaki, dagaa, na nyama/ maharage wangekuwa juu zaidi. hivyo si kweli kuwa wako...
suala la dini , ukabila, ukanda, na vingine kama hivyo havitakiwi kufikiriwa kwenye posts kama hizi. na tukiviendekeza tutegemee kurudi nyuma tu. ila kama wanaotajwa wapo doubtful waachwe kwa kuwa kuna wataalamu wengi sana sasa hivi. Dr. Patrick Mugoya is one of them, talk of Dr Assad Mussa...
Mkuu yanatafutwa maajabu natural sio Kama hayo!!!! Ya design hiyo mbona mengi, hat a umasikini tulionao ukilinganisha na maliasili pia ni maajabu. Pigs kura tu Mzee
]Wadau.
It doesn't make sense to me kwamba tunakazania kuuingiza mlima Kilimanjaro kwenye kinyang'anyiro cha kuingia list...
CDM acheni harakati mfanye siasa kila siku ni mafisadi tuuuuuuuuuu, mkipewa nchi mkathibiti mafisadi then? Elezeni mipango ya kuendeleleza nchi na kuhudumia wananchi. Kushika dola sio mchezo huwezi kwenda pale na agenda moja tu ya kudhibiti ufisadi.
Mtoa hoja jitahidi uwe objective, hayo mataizo yamekuwepo tangu CDM wakishiklia umeya hivyo wangejitoa Kama wanachosema ni kweli vinginevyo wangepigana kubadilisha hali hiyo na ndicho tulichotegemea sisi wapigakura wa mwanza. Kuyasema hayo baada ya kushindwa NO!!!. Issue napa ni kwamba CDM...
Lizzy, hayo yoote uliyoandika hata mwanamke anaweza kuwa nayo so, Mwanamme Kamili ni Yule anayeweza Kile mwanamke asichoweza kufanya na mwanamke akaridhika. Hayo mengine ni by the way
Kagame ni best of the best Africa. Kwangu Mimi the end justifies the means. Rwanda imetulia maisha ya wananchi ni safi, hakuna Wizi wala ujambazi watu Wana amani, elimu, afya, miundombinu, makazi vyote ni vya kiwango. Bajeti ya Rwanda ni Kubwa kuliko Tanzania ingawa Rwanda inalingana na Wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.