Ndo maana ndungu zetu wakienda kwao wanateseka sana hata kufanyiwa vitendo vibaya kama hivyo mm naona .sisi ni wavivu tu na wambea hata unafiki umetujaa bila kusahau wivu na kutopendana basi lah! tungekuwa mbali sana kwa maendeleo
Hata mfanyaje hatutawaelewa eti wasomi ni polepole dk slaa na sita +mwake haaa mbona msimwite na Mh Lisu Mh safari Benson na kitila mkumbo na washadidi kama machali kafulila zito nyie vp bahna hebu mtuache bahna kila mtu anaakili yake na amini yako na mm yangu ukawa ndo kila kitu kwangu
Wakati mwingine hawa nawa wanazingua sana mishe trafk wanapenda sana hela bahna mda mwigine dereva anajikuta tu kajiogeza na kutokea ya kutokea ila si kwa hiari yake
Bahati yao mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya R t o wote ni watu wa kuteuliwa maana wagekuwa wa kupigiwa kura mwaka huu wagejuta kutufahamu tuu na Meya naye sijui anafanya nn eeehh Mungu tuonekanie wakazi wa jiji la Arusha
Nakuambia hapo tu ndo napopata kichaa ikifika jioni utatamani kutembea kwa miguu ama boda ila tuombe tu majibu kwa wahusika maaana najua wapo humu kabisa mollel
HOPECOMFORT Ndo msimu huu na makonda wa jiji la Arusha akili zao zinawatosha wao tu yaani mm nahisi bora hadhi ya jiji liondolewe mpaka tutakapo kuwa sawa maana hata swala la usafi bado sana pita kilombero pale kwenye taa maji yanayotiririka pale car wash yananuka balaaa pita crokoni mjini...
Dah! Ton bn si swala la kubeza hili wananchi wa jiji la arusha tunapata shidah na urasimu uliopomapaka umwone meya wa jiji umweleze kero hizo ni tatizo
Wadau,
Mimi ni mkazi wa jiji la Arusha. Mwanzoni tuliona ni jambo la heri na la kulisifia kwa Meya wa jiji la Arusha kubadili njia na vituo vya magari ktk jiji letu ila imegeuka kuwa kero kubwa sana maana magari hayo hayafiki kabisa kwenye njia husika.
Mfano magari ya CHEKERENI VIA SAMUNGE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.