Mchange!unajua kwamba toilet paper baada ya matumizi hutupwa nayo huenda na ikawa sehemu ya uchafu iliokiwa ikiuondoa?Angalia Mustakabali wa Zito kisiasa.Kama huamini mwambie aje aitishe mkutano wowote nyanda za juu kusini kama watatokea hata watu 100.MASKINI KASHATUMIKA SASA ANAACHWA AJIFIE...
NA MSIOJUA NAPE NI MTOTO WA MOSES NNAUYE,MTOTOWA NYERERE NIMBUNGE,MTOTO WA KAWAWA NI MBUNGE,MTOTO WA MAKAMBA NI WAZIRI,MTOTO WA MWINYI NI WAZIRI,MKE WA KIKWETENA MWANAE NI WAJUMBE WA NEC CCM,HATUJAGUSA AKINA KARUME ZANZIBAR na uchafu wa namna hiyo ni mwingi nchi nzima,CHUNGUZA WAKUU WA WILAYA...
Na tatizo majangiri wengi ni vigogo wenyewe au watu wenye mahusiano ya karibu na wbunge wetu wenyewe,ni vigumu kuamini kama kilichopiganiwa ni haki,maslahi na utu wa mtanzania au ndo mbinu mbadala ya kuua op.iyo
LABDA KWAWASIOMJUA ZITO WANAWEZA KUSHAWISHIKA NA UZI HUU,ZITO NI MWANASIASA ANAYEJIAMINI KUPITILIZA,NI MTU ANAYETAFUTA UMAARUFU BINAFSI KWA GHARAMA YOYOTE ILE IKIWA NI PAMOJA NA KUWATUMIA WANASIASA WADOGO NDANI YA CHAMA KAMA CHAMBO POTELEA MBALI WAKIFIA MBELE ILIMRADI YY ASURVIVE,alifanya hivyo...
Afu kama amejiuzulu anatoa matamkokama nani?n:b,namfahamu kitundu,hana weledi wa kuandika kwa mpangilio niliousoma,watuhumiwa wamemwandikia wamempostia pia.ni kweli yy binafsi ni rafiki mkubwa wa zito kwa muda mrefu
Kitundu,ivi wewe mbona huzungumzii tuhumazinazokukabili za kushirikiana nazito kuhujumu jimbo la singida mjini?bahati yakotulikuwa tunakusubiri baraza kuu la chama tunyooke na wewe umeota mapema eeh!pili unakumbuka siku ile ya uchaguzi wa bavicha tulipokukamata pale bondeni hotel magomeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.