tatizo sio cdm tatizo watoke waende wapi? Kuna market ya kuuza bidhaa zao? Tuwe wwa kweli mtu anapotafuta ridhiki yake unamwingilia, wakaibe? Hahao mnawadai ushuru wa serikali mbona sasa mnachanganya watu, wananchi wana hasira na ukali wa maisha huku serikali imeakaa kimya , plz think twice...
mshirikishe mungu kwa maombi tangu mwanzo unapoanza kuweka nia a kutaka kupata mwenza wako, pia usiconcetrate sana kwenye maswala ya ngono bali mjenge kujuana kitaboa, interest na mapungufu zaidi, mrekebishane mapema vile vinavyowezekana kuliko kusubiriana mkiingia ndani, kikubwa uwe makini watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.