Mh Waziri ninajua wewe ni msimamizi na mtenda haki lakini utendaji wa jeshi la polisi hauridhishi , mfano central Arusha Police watu wanabambikiwa kesi.
Nilibahatika kuchunguza jinsi watu wanavyopigwa mpaka miili yao kuoza na kutoa harufu na wengine kulazimishwa kujamiana kinyume na maumbile...
Kwanza nimpongeze Lissu kati ya watz wachache walio shiriki kwenye interview inayoangaliwa na watu zaidi ya 400m duniani kote,ameweza kuanika changamoto Tanzania inayopitia chini ya awamu hii ya tano, najua wasiolewa wanambeza lkn kwenye hili kwa lugha nyepesi Lissu is a hero!!
Ninaamini JPM na...
Tundu Lissu hajaacha kitu,kaelezea kwa ufasaha udhaifu wa jpm na serikali yke,, nawaza je ingekua ni JPm kaitwa kwenye hiyo interview ingekua aibu ya mwaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.