Mkuu mimi sio mtaalamu sana wa generator , nasikia kuna generator ambazo zinatumia mafuta kidogo kwa kipindi kirefu, naomba nichukue la aina ngani kwa ajili ya computer,photocopier, printer,drier na mambo mengine ya saloon
Bora hivyo naona umegundua dhambi uliyofanya. Muombe Mungu akusamehe. Pia kasome itakusaidia kuachana biashara haramu. Nakukaribisha kama unataka ukasome nini iliuweze kujiajiri au kuajiriwa.
Katika jukwaa hili nilisema mapema kwamba G6 ni majanga haifaii kuuzwa bei ngali . Nakumbuka nilitukanwa sana wengine wakasema nimetumwa na makaburu, nashukuru hata wale walionitukuna leo wameona madhara ya dharau zao. Huyu mnayemlalamikia ni sungu kamwe hata rudisha hata mia kwa wateja wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.