shikamooni wakubwa na wengine habari za saizi ....poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale mimi nilikuwa naombeni msaada wa kazi kwa rafiki yangu ambaye amezunguka huku na kule kutafuta kazi bila mafanikio yeye anajua kuendesha magari ya aina yote nawaombeni sana mumsaidie
mi sifa zote ninazo na umakini pia ila uzoefu wa hyo kazi sina ila natumai nitajifunza na kuwa hodari....sasa sijajua hyo ofisi iko maeneo gani?na mshahara ni sh. ngapi?
Sikia inno hisia zangu nisha direct kwako so sioni haja ya kunitesa mi,u must knw dat i love u and i can live without u bt i dnt want it to be like dat coz my heart has choosen u...ooh baby u dnt knw wat ur missing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.