Huyu jamaa (Manji) aliwagombanisha hawa vijana(Orijino Comedi, Masanja Mgandamizaji ) na mheshimiwa Mengi akawatoa Channel 5 kwa mbwembwe na trip ya UK na mishahara mizuri, hadi ikafikia hawa vijana (Comedians) wakawa wanamchana Mengi kwa kujiamini hata aibu hakuna!
Hapo siwalaumu sana, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.