Wadau nawarudisha nyuma kidogo turejee kwenye hoja ya fao lakujitoa ambalo Serikali imeamua kuliondoa miongoni mwa mafao yanayotolewa na mifuko ya hifadhi ya jamii, mijadala mbalimbali ilifanywa na washikadau lakini mpaka sasa hakuna taarifa njema kwa sisi wahanga juu ya fao la kujitoa...
Waraka wa SSRA ni uhuni mtupu,sitaki kuamini mambo yasiyo na utaratibu,SSRA inaratibu shughuri za mifuko ya jamii na mahusiano yote ya kisera na utaratibu yanafantwa kati ya SSRA na mifuko husika. Iweje SSRA itoe maagizo kwa waajiri badala ya mifuko ya hifadhi ya jamii ambayo inawajibika...
Leo meneja wa NSSF mkoa wa mara akiwa pamoja na HR meneja wa BARRICK NORTH MARA wamewatangazia wafanyakazi kwamba serikali imetoa TAMKO leo kwamba wanachama wote wa mifuko ya hifadhi ya jamii hawataruhusiwa kutoa michango yao mara baada ya kuacha au kufukuzwa kazi,kuanzia leo, MWENYE TAARIFA...
Kuna tetesi kwamba serikali imetoa agizo leo mifuko yote ya hifadhi ya jamii kuacha kutoa mafao ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa wafanyakazi wote watakao acha au kufukuzwa kazi kabla ya muda wa kustaafu kufika kuanzia leo.Taarifa hii imetolewa na meneja wa NSSF Mkoa wa Mara,Ndg MVUNGI pamoja...
Basi la Green Star ilyokuwa inatoka mwanza kuelekea Dar imepata ajali maeneo ya shelui kijiji kimoja kabla hujafika shelui centre, hakuna mtu aliyekufa,imegonga na kuua ngombe saba
Pipijojo Jk amesimamia maamuzi yenye Tija kwa ccm na serikali yake lakini sio MASLAHI YA TAIFA. Furahia yanayotokea leo na ujivunie kwa hayo kesho usije juta.Angalieni jirani zetu Kenya Jaji wa mahakama anaomba kazi kama anavyoomba IT TECH,sisi bado tunateuana wapi uhuru wa mteule kama si...
The Good nafikiri ni mfuatiliaji mzuri wa huu mchakato lakini tatizo lako lipo kichama zaidi,kumbuka wapo wanaharakati ambao sio ccm wala cdm pia wanaupinga huu mswada,hoja ya msingi inayoangaliwa kwenye mchakato ni fair play ambayo itafanya pande zote ziaminiane,hakuna sababu ya msingi...
Wana jf jana nimebahatika kuingia kwenye ofisi za barrick north mara lakini nilisikitishwa sana kuona kanga yenye picha ya mwl j.k nyerere ikiwa na ma maandishi TUMUENZI NYERERE 1922-1999.kimsingi sikupendezwa hata kidogo na ujumbe ule wa dhihaki kwani naamini kama nyerere angekuwepo wizi na...
Umeongelea hisia zako, lakini ukweli Zitto ni mtata. Kama CHADEMA ingekuwa kama CCM ya leo ingesambarataratika kwani Zitto amewahi kukituhumu chama kwa udini na ukabila. Kama hiyo haitoshi mara baada ya uchaguzi mkuu 2010 Zitto alitangaza kugombea urais 2015 kinyume na taratibu za chama, kama si...
Tunisia,Misri,Libya ilianza ukombozi kwa mji mmoja mmoja hatimaye nchi nzima ikakombolewa,tuwaunge mkono ndg zetu wa Arusha nasi tukijiandaa kila mmoja kwa mji wake hatimaye ukumbozi kwa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.