Pengine kweli ni 'subjective' na sio fair kama inavyosemwa na wasomi wengi hasa wa nchi zilizo katika nafasi za chini. Lakini, ngoja niorodheshe vigezo vilivyotumika kupata orodha hii na tuone kipi si sahihi kutumika katika kupanga, HASA VYUO VYETU. Nitaviweka kwa lugha waliypitumia wao na...
Kifanyikacho hapa wadau ni hiki: Mzazi ana watoto wawili, mmoja kawa wa tatu na mwingine ni wa pili TOKA MWISHO katika mtihani. Halafu anaridhika kwa kuwa huyu wa tatu toka mwisho ni wa KWANZA NYUMBANI.
JE, MZAZI HUYU ANA BUSARA?
Hakuna hata chuo kimoja Afrika Mashariki nzima kwenye THE...
The Times Higher Learning (THE)Ranking wametoa orodha ya vyuo vikuu bora duniani.... AFRIKA MASHARIKI HAKUNA HATA CHU KIMOJA...! Tutazame upya, pengine chuo fulani ni cha kwanza Tanzania, na kingine ni cha mwisho, lakini TUKO WAPI KIDUNIA?
Katika orodha ya Vyuo Vikuu Bora 400 Duniani (THE TOP 400 World Universities 2011/12)iliyotolewa hivi karibuni na The Times Higher Education (THE) World Universities Ranking HAKUNA HATA CHUO KIMOJA TOKA AFRIKA MASHARIKI...! Nini maana yake? Nini tatizo? Nini kifanyike?
Vigezo 13 vinatumika...
JAMANI....HAKUNA HATA CHUO KIMOJA KWENYE TOP 400 ZA THE WORLD UNIVERSITIES RANKINGS ZILIZOTOLEWA KARIBUNI TOKA AFRIKA MASHARIKI....ACHENI KULUMBANA, TAFAKARINI NAMNA YA KUBORESHA ELIMU YETU TOKA NGAZI YA CHEKECHEA MPAKA VYUO VIKUU.
FOLLOW THE LINK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.