Kuna baadhi ya watangazaji unawaona kabisa hawa pangu pakavu tia mchuzi!.....Mfano hawa wa ITV habari(upande wa michezo) kila siku mavazi yale yale inamaanisha ata fedha za nguo hawana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.