Jamani kikao cha cc ni kizito kuliko vyote kwani kiamua muelekeo wa nchi msitegemee kitaisha sasa hivi huenda kikaenda mpaka kesho bora ufanye mambo yenu kwanza.
Ni kweli mdada lakini kwa kisa chako nachelea kusema uaifanye huo ujinga wa kuondoka naona bado kuna room ya kuyazungumza na mwenzi wako jitahidi baadaye atapata ufahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.