Kwanza mfumo wa mafuta una nozzle zake ambazo unapotumia mafuta ndio zinatumika lakini mfumo wa CNG unakuja na nozzle zake pia so wakati unatumia CNG kwenye gari basi ni nozzle za cng tu ndio zinatumika kwa muda huo na zile za mafuta zinakuwa hazifanyi kazi kwa wakti huo. So hapo hakuna nozzle...
Mkuu kwema Kwanza kabla sijakupa details ningependa kufahamu specifically aina ya Hiace unayotaka Hapo inaonyesha ni 10 and Above ambayo ni Commuter ingekuwa vizuri ukanitumia link nikaiangalia then nikakupa mrejesho mzuri Asante
Habari wanazengo, Naomba Kuleta Hii mada ili mwenye kuweza namna ya kutoa mawazo na ushauri juu ya kuweza kujikinga au kugundua kama kuna mtu ana gari inayofanana kuanzia muonekano mpaka namba za usajili wa Gari lako.
Siku kama nne Jirani yangu alikamatwa na Polisi wa Usalama Barabarani Dar Es...
Simu yangu ya samsung note 5 imepasuka kioo kwa ndani na kupelekea kutoonyesha chochote kwahio natafuta kioo full ambacho kinafanya kazi mwenye nacho please bei inbox au hata kwenye comment
Kwa uelewa wangu Mdogo. Unaweza kutoitwa katika Usaili kwa sababu zifuatazo
1:Hukidhi vigezo
2:Unavigezo vyote bali wanahisi kuwa unaweza kudemand mshahara mkubwa sana au ukawasumbua
3:Nafasi ulizoomba zimetangazwa tu kama formality.
Hapa huwa naamini ishu sio barua wangapi wanasoma barua MaHR...
Kwa Taa zote za Mbele Isipokuwa fog lights. (Headlamp Only)
Karibu sana Nikuhudumie
Naweza kukufuata Popote Ulipo Kwa Dar Ambapo Usafiri wake kufika ulipo hauzidi mabasi mawili BEI ITABAKI HIO HIO BILA NYONGEZA endapo usafiri utakuwa ni wa zaidi ya mabasi matatu na bodaboda au mawili na bodaboda...
Taa zote za gari tena hizi Zinazoonekana ni Plastic ambazo zimetengenezwa kwa material ya polycabornate Zote hata zikiwa mpya inafika hatua zinakuwa na Oxidation, Ukungu, kufubaa, Unjano na kupauka tofauti ni muda kutokana na mazingira Taa Used Au Mpya zote zitakuwa na hali hio. Taa ambazo...
Charges wanaangalia CBM (cubic Meter) Port Charges ya Hiace Peke yake ni Zaidi ya Laki 5 ambayo inafika mpaka laki 6 na kitu na Shipping line ni Dola 80 mpaka 90 kwahio hapa inategemea na gari lakini Most ya Magari haya Saloon na Baadhi ya SUV inaweza isifike huko
Ya Ni Kweli unachosema lengo ni Kuelimishana Na ndio maana nilipopitia uzi wako sikuona shipping line nikakwambia umesahau au mimi sijaona. Na lengo la kusema Mimi sijui shipping line wana calculate vipi kwasababu pale unaponunua gari japan kila kampuni unayonunua wanafanya booking za meli na...
Kupata unaweza kupata ila kwa Muda Gani ndio mtihani Na Pia Unaweza kupata Kama wewe Uangalii NAMBA bali unatazama ubora wa gari Lakini Kama ni Namba unaangalia Utachukua Muda mrefu kuipata
Mkuu Escudo ya Mwaka 2006 unaweza kupata Kwa Mil 26.9 na Mwaka 2007 unaweza kupata Kwa Mil 27.8 Bei hizo Zote unalipa kwa Awamu Mbili ya Kwanza Kwa ya Mwaka 2006 Utalipa Kiasi cha Sh 12,901,710 then baada ya mwezi mmoja utamalizia Mil 13,998,290 na Ya Mwaka 2007 pia unaweza kulipa kwa Awamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.