Habari Zenu wakuu,
Nina showcase fridge used yale kama yanayotumika kwenye ma supermarket ku display nyama samaki na vitu kama hivo. Pia nina freezer kubwa used ambalo lina mlango wa kioo display freezer. Unaweza cheki picha yake nime attach na bei ya kila moja.
1. Showcase fridge 650,000/=...
Blackberry 9900 nyeupe mpya. Bei 750,000/=
Sony viao laptop nyeusi ina specs zifuatazo:
6gb
500gb hard disk
intel i3
bei 850,000.
Kama utahitaji piga 0785 202 202
Hii ni ipad 1 ambayo ina 64gb 3g na wifi na pianina uwezo wa kupiga simu na kupokea na pia kutuma na kupokeansms kwa tumia line yako. Bei ni 750,000/. Iko katika hali nzuri kabis haina mchubuko wa aiana yoyote... Kama kuna mtu atakuwa interested ani pm au apige 0785 202202
iPad hii ni 64gb 3G na wifi. Pia ni ya kipekee kwasababu unaweza piga na kupokea simu na hate SMS. Bei ni laki 850,000/=. Kama utahitaji ni pm au piga simu number 0785202202... Asanteni...
Simu hii ni used kwenye Hali Nzuri sana. Imetumika kwa muda usiozidi Miezi miwili... Bei ni 420,000... Kama unahitaji ni pm au wasiliana nami kwa number hii 0785 202202.
Asanteni Sana.
Sasa kwa shillingi laki moja unaweza piga simu na kutuma SMS kupitia iPad yako kwa kutumia line yako ya simu. Kwa maelezo zaidi ni pm... Asanteni... Na Iko iPad 1 64gb 3G and wifi kwa 850,000/=
SIMU HII WAZEE YA UKWELI INAUZWA... For more information pitia tovuti hii hapa uone picha zaidi na specs http://www.welectronics.com/gsm/misc/DELL-STREAK.HTML
Bei 700,000/= pm kama ukiwa interested.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.