lowassa bado anafaa kuwa raisi wa tanzania. na atafanikiwa. siye tutabaki kupost huku Jf tu na kushawishi watu ambao hawafiki hata asilimia moja ya watanzania
Lowassa anafanya siasa kama wanavyofanya watu wengine
kuna watu humu jf wako kila siku kumwandika vibaya tu huyu mzee wa watu. Kama kweli tuna nia ya kulikomboa taifa letu tuachane na kuficha majina
siasa za ccm zishajulikana na zinajulikana kwa watu wote hata hawa madogo waliotoka shule za...
WHATEVER detractors, denigrators and dissidents might say to the contrary, Edward Lowassa is a Man for all Seasons. He is also a man for decisions, no matter whether his decisions are right ? and, therefore, beneficial ? or wrong and, most likely, nugatory!
That was why I had no qualms...
Nimekuwa nikifuatilia mijadala hapa jf kwa takribani miaka minne sasa nikagundua ukiacha wachache ambao wana upeo wa kufikiri wengine huelekeza matusi kwa wenzao bila hata kuwa na data kwa kitu kilicholetwa kujadiliwa.
Watanzania wengi ni waoga
huwa wanaongea na kuandika mambo bila kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.