Hivi wale MBUZI WA HALAL-BADRI kule Tanga bado wapo hadi leo. Kama unakumbuka mkuu Ally Kombo wale mbuzi walikuwa wanazurura mji mzima na hawaguswi na mtu. Watu walikuwa wanawaogopa kama ukoma! Bado wapo wale?
si kumkumba tu, namfaham! Suala la kuijua Tanga si kwamba naijua tu nimezaliwa Bombo hospital na nimekulia usagara na sahare na kusoma kule up to O-level. Sikatai uchawi upo na c Tanga tu, hata hapo ulipo upo. Ninao mpaka rafiki zangu ambao walishaathirika na halal-badri, ipo ipo sikatai...but...
nyingi ni simulizi tu ambazo hazina uthibitisho. Tanga ni moja ya mikoa mbayo mungu ameibariki vitu vingi vzr... Panafaa kuishi kwani maisha ni rahisi, plan nzuri ya mji nk
Hili tukio la mpira kupasuka ni true story na nilikuwepo pale mkwakwani siku ile japo nilikuwa bwana mdogo sana. Goalkeeper wa African sports alikuwa SALIM WAZIRI na inasemekana kwamba angeudaka ule mpira ndio ungekuwa mwisho wa maisha yake! Nadhani lilikuwa tukio la kawaida mpira kupasuka...
uko sahihi mkuu...jamaa alikuwa anaongeza chumvi kwenye maelezo yake! Niwasahihishe tu kidogo Pama hakuwa mwembamba, alikuwa ana mwili mkubwa wa mazoezi ila alikuwa na mdogo wake anaitwa MKUSA ndio alikuwa mwembamba! Jamaa walikuwa wababe sana enzi hizo...nyumba yao ya familia ilikuwa pale...
Waendelee tu kutembea nusu uchi mitaani na kushinda night club...wataishia kuwa vipozeo tu...wale wenye heshima zao wanawekwa ndani hata kama wana sura mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.