Ndugu zanguni napenda kutoa masikitiko yangu kwa wapendwa wetu wote waliokumbwa na maafa ya mafuriko jijini Dar es Salaam na pahala pengine popote pale ndani ya nchi yetu. Pia niwape pole ndugu na jamaa ambao wamepotelewa ndugu, mali na kukosa mahala pa kuishi kufuatia maafa hayo. Kuna mambo...
Naam ni jambo jema kushiriki chakula na watu wenye makosa watumikiao adhabu gerezani! Kama nia ya Mbunge ni njema basi ni jambo la kuigwa lakini kama kutakuwa na hisia za kisiasa pia kutafuta umaarufu (Cheap popularity) basi haitajenga maana miongoni mwa jamii yenye mitazamo ya tofauti kisiasa.
Ukifuatia mchakato wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Igunga uliomalizika hivi karibuni na matokeo yake kutangazwa, inaonesha dhahiri utofauti wa matokeo kwa upande wa mjini na vijijini. Kwa tathimini ya haraka tu tena bila kukaa darasani inaonekana watanzania wengi na hasa waishio...
Kadri karne zinavyozidi kusogea kumekuwa na mporomoko mkubwa sana wa elimu ya Tanzania. Kuna shule za kata nyingi ambazo zimejengwa hazina walimu wenye sifa za kutosha pia hata mazingira yake kutokuwa kichocheo cha mwanafunzi kujifunza wala mwalimu kuishi na kuifurahia kazi. Tuendako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.