Mjadala huu tusipokuwa makini unaweza leta mambo yasiyostahili, sasa masanja kuongea alivyojisikia kusema imekuwa ni Mengi anapewa hukumu? Je? nani anayejua hukumu yake? Binadamu mara nyingi tunaona tofauti za wenzetu ila za kwetu hatuzioni.
Pole sana balozi wetu na familia yote kwa ujumla. kwakweli hii inasikitisha sana na ni unyama mkubwa sana!!1 Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.
Ni kweli unapokuwa na jambo ambalo una uhakika nalo bora ueleze kinagaubaga siyo blablaa. hebu fafanua kwanza kuhusu TANESCO, na huo ufisadi ulianza lini na umefikia wapi kwa sasa? ili kama kweli hatua za kisheria zichukuliwe zidi yake.
Isije ikaja dhana ya kuwa wabongo wakishaona mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.