Ndugu zangu wadau wa Jamii Forum na wasii katika blog hii tukumbushe serikali yetu kuwa kuna haja yakutupia macho shule za kata Tanzania kwani shule hizi zinaongoza kwa kufelisha wanafunzi na hata kukatisha tamaa wazazi wasikiapo wanao wamefaulu na kupangwa shule za kata. Wanaamini wanapoteza...
Ndugu zangu wanajamii ni matumaini makubwa kwa CDM kwa kile kilicho dhihirika Igunga licha ya kumwagwa kwa billion 10 na magamba. wito ni kwa chama chetu chakizalendo CDM kuelekeza mashambulizi Monduli. Kwa utafiti wangu Monduli inapaswa kuvaliwa buti mapema kwani watu wake wanauwelewa mfupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.