Kumbe, fanya kazi yoyote hata kubeba zege na uzitumie hela kwa utaratibu wa kujiandaa na biashara yoyote ya mtaji mdogo inayolipa maeneo uliopo. Usichague kazi.
Chukua mikopo wenzako wote wamekopa wamejenga, wamenunua magari, na usije ukakopa ukazitumia hela vibaya utaumbuka. Watu wanaendesha magari ya mikopo wanakutisha. Kwa kazi hiyo bila kukopa hutoboi.
Kaoa au kaolewa, maana kuna wanaume wanaoolewa siku hizi na manyanyaso wanayopata Mungu anajua. Kama kaolewa na hana maisha bila ya huyo mwanamke, atafute maisha kwanza, apate pesa vinginevyo kijikomboa itakuwa ngumu sana.
Kweli inabidi utulie kama bado hujaambukizwa ukimwi. Umezoea umalaya ndio maana sasa wote unawaona wa kawaida. Mwanamke mwenye hofu ya Mungu hatakukubali kutokana na umalaya unaoufanya, ndio maana unawapata Malaya zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.