Hii ni nusu budget ya pesa ya $5.8B ambayo spaceX kampuni ya elon musk imepanga kuitumia kuhakikisha starlink kampuni tanzu ya broband internet inayotumia satellite , zaidi ya sattelite 35,000 zatarajiwa kuwekwa baada ya kukamilika kwa ujenzi rocket za falcon heavy ambayo itatumika kuinstall...
weka ukweli na uhalisia ili twende sawa kuliko kukumbilia kusema udaku,je nikipi kipo huko?nakama alikuwapo na mbatia nia kumnadi mgombea wake we unafanyanini ktk mazingira hayo. Nakwakuwa waliamua liwalo naliwe, kila mgombea asimamishwe.
huu ni uzushi kabisa anatropia hawezi kubali kuachia, kama ni hivyo juma mkumbi kule kigamboni usiachie kirahisi,na cuf ya kigamboni kama mnakubali ukawa asimame cdm mmeliwa kwani. Cdm inayataka majimbo yote mawili ndomana anatropia hawezi jitoa. Nawe juma mkumbi chonde usijitoe. Muende hivyo...
sasa umefanya vizuri yani pamoja na kufanya kazi kubwa ya sana meizidi cuf mitaa mitano,cuf ambayo haijafanya kazi kubwa. Unasifia kuwa mmechukuwa wajumbe kila kata,tunafahamu maeneo yenu mligoma kuweka mgombea wa cuf wa ujumbe maeneo ya cuf, cuf hawakuwa wachoyo walichanganya wakawaweka na...
minashauri wote wasimame jamani kigamboni cuf ina nguvu na juma mkumbi anakubalika hivyo,na wa cdm anataka, tena hawanawake kote wana matatizo, wana tamaa huko kigamboni ni mchadema wakike na hapo segerea mchadema wakike. Basi majimbo yote wasimame wote chuya na mchele zitapembulika.
Angalieni ndani ya box kuna kitu gani. Nanini mnakihifadhi haswa ndani cdm, angalieni maisha baada ya uchaguzi baada ya kuwa mmeshindwa. Mchawi ndani ya cdm alio wa hifadhi msimuangalie cuf na zitto na act yake ambao hawamo ndani ya cdm. Mleta mada una angalia maisha wakati wa uchaguzi. Ni sawa...
Shule ya mwenge mwalimu shigela,chiboni,maduhu,..,shule ya isike msöna, shule ya kitete mlw masaka,fikirini,...
Shengena hoteli pale kitete hospitali washona viatu kina kawawa na kambarage, duka la hassani mkonde pale kwa kina mrua,fundi baiskeli. Ng'ambo kwa juma mzungu, deremsi,mpumuti, kwa...
wewe umenena kwani nimemwambia ktk group la tabora ndio kwetu la fb huyu kidaha,na bora angeenda cuf walau angeleta mtikisiko,tamaa zake zina mponza na katu hawezi pata ubunge. Ktk wilaya hiyo. Mtu anayeweza kiulaini kuchukua jimbo la uyui kupitia ukawa ni prof lipumba.
Nirahisi sana kuwafanya cdm wasipate kura huko mtwara walipo simamisha. Kama wananchi wanatambua kabisa makubaliano hayo. Na mgombea wa cuf kama yuko vizuri. Niswala la kuwajulisha wananchi juu ya usaliti wa cdm wamtwara ni waelewa sana somo la usaliti nirahisi kupenya kuliko somo lile la gas...
Jamani ukawa ni ukawa mambo ya cuf au cdm yanini kama huyo burushi mfanya biashara yuko fit apewe burushi anaweza shinda pamoja ya kwa mba chama cuf hakina mtandao,je huyo ndugu asipopitishwa kura za maoni za ccm je atajitoa majungu hayafai. Cdm yenyewe shahidi imekuwa ikishinda hata sehemu...
kuwatimua kwa lipi baya. Tena lipumba kwakwambia ataendelea kukutumikia chama.don't you see fantastics decisions which cant hurt ukawa. Na ukawa na cuf inabaki salama kabisa vivyo hivyo kwa slaa na cdm na ukawa unabaki salama
unamuelewa slaa kvp na usimwelewe lipumba kvp, kama nawe si unafiki na ubaguzi, lipumba kavumilia mangapi, we unajua kiwango alicho kwazika,?penda kuheshimu maamuzi ya mtu yeyote,iweje maamuzi ya slaa umeona sahihi na isiwe kwa lipumba ili hali wote walishiriki mchakato huu unaondelea. Acha...
Bilashaka ni full tapeli busnes(biashara tapeli)na kaka angu amekuakifanya biashara hiyo muda mrefu tangu 1972,na amekuwa akiifanya vijijini,pia amekuwa akifanya uganga wakitapeli na ramli tapeli,kama walivyo eleza mwingine anaweza tumia mzungu hewa. Inakuwa hivi kunamtu anakuja eneo...
Bilashaka ni full tapeli busnes(biashara tapeli)na kaka angu amekuakifanya biashara hiyo muda mrefu tangu 1972,na amekuwa akiifanya vijijini,pia amekuwa akifanya uganga wakitapeli na ramli tapeli,kama walivyo eleza mwingine anaweza tumia mzungu hewa. Inakuwa hivi kunamtu anakuja eneo...
kwasasa mkuu nihali tofauti,wao walianza wakaanzisha safari,mrema,maalim seif,prof kighoma ally malima,nakama asingekufa huyu kighoma ally malima,nchi ilikuwa imeondoka maana kulikuwa na mrema anakubalika,malima anakubalika na kama lipumba angeingia wakati kighoma malima yupo hai,sijui balaa...
Hii ni networking busness ni pasua kichwa kwa ujumla haifai ,nahii imetokana na kuangamizwa piryamids system hapa bongo kama ile deci, lakini wanaofanya hii network wanakata kuwa hii ni pyramid schemes, nikiangalia ni ile ile,hebu angalia mi nanunua kitabu kimoja ndo bidhaa kuu(kwahakika kitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.