Tehe! Tehe! Tehe.nilifikiri jamaa anajibu maswali ambayo hayausiani na swali ili ajioneshe kwamba ye ni tajiri,lakini kuna watu kama hao kama unaongea naye utakuta yeye anaongea vitu haviusiani na mada yenu ili mradi ujue kwamba ana kitu flani
Jamani mimi mwenzenu naomba kuuliza. Mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewani nikielea.
Tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.
Zina maana gani?
=========...
Kuna sehemu ulitokea msiba ambapo mama mmoja alikuwa analia sana kiasi cha kuonekana ameguswa sana na ule msiba,lakini baadae watu wakashangaa amekaa kimya halii.wakinamama wenzake wakamsogelea kisha wakamuuliza vipi mbona umekaa kimya, yule mama akasema nimeamua kuweka vibration.
Kuna jamaa mmoja alikuwa amebebwa kinguvu kupelekwa milembe baada kuonekana ni kichaa,sasa jamaa akawa anajaribu kujitetea: Jamaa: jaman naomba muelewe kuwa mimi sio kichaa kwani naelewa mambo mengi kwa mfano Obama ni raisi wa marekani, simba na yanga ni watani wa jadi hata...
Kuna jamaa jongoo wake alikuwa hapandi mtungi,basi jamaa akaenda kwa mganga na kumweleza tatizo lake.mganga akamwambia tatizo dogo hili,kisha akampa jamaa kanda ya wimbo wa taifa na kumwambia jamaa akaisikilize,jamaa akashangaa na kumuuliza mganga, hii ndiyo dawa?mganga akasema wewe acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.