Ila yote haya yanamwisho wake.
Ziko wapi tawala za kibabe now? Zote zimeishia kupotea, hata hawa Askari pia wanajua ipo siku nao watawajibishwa tu.
It takes longtime for true democracy to be practiced, more injuries and casualties usually happen on the way to reach a true democracy.
Kulipa kwa gari inategemea na ulipoinunua ilikuwa na mileage ngapi AU imetumikaje kabla AU ilishawahi kupata ajali au la.
Kwa X-trail jaribu kutafuta yenye mileage chini ya 110000km. But Zaidi ya 150000km sikushauri uchukue itakusumbua.
Hizo ni fitna za kiumaarufu. Ukitaka kumpaisha mtu ni Lazima utumie mtu ambaye ndio star kwa wakati huo. Hivyo hii ni mbinu ya kundi linalotaka Ally Kiba arudi ktk chart, sasa wameona sokoni kuna mtu anayetamba. Njia Pekee ni Kutumia njia ya dharula kama hizi.
Cha kufanya ni team Diamond Lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.