Jaji Mkusa Issac Sepetu amefariki dunia leo asubuhi,na maziko yalifanyika kijijini kwao Mbuzini,Mungu amlaze mahala pema peponi,Amin
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama ya mkoa Vuga Zanzibar imetupilia mbali ombi la mshtakiwa Hassan Aboud Talib aka Kiringo anayekabiliwa na makosa mawili, moja likiwa ni kutorosha na jingine kulawiti. Amerudishwa rumande hadi tarehe 13 March 2018 kesi yake itakapotajwa tena.
===
Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Mjini...
Mtuhumiwa wa ubakaji wa mtoto wa miaka 13 Zanzibar amefikishwa mbele ya mahakama ya mkoa Vuga ambapo amepelekwa rumande mpaka kesho ombi lake la dhamana litakapotolewa uamuzi.
Kiringo alitiwa nguvuni kwa tuhuma za kubaka na kulawiti mtoto wa miaka 13. Zaidi soma => Mtumishi wa TRA, Hassan...
Hii idara baadhi ya wafanyakazi wake sio waaminifu.karibuni imetokezea malalamiko ambayo yapo mazizini police watu wameuziwa magari na mtu ambae sio owner wa magari hayo.jamaa alikuwa anakodi magari baadae anaenda zrb anatengenezew kadi ya umiliki ambayo inampa uwezo wa kuweza kuuza magari...
Jee kuna tofauti gani kati ya iphone 8 na 8 plus.yaani kuna vitu ambavyo waweza pata kwa 8 plus na 8 ikawa havipatikani.na mwisho kimatumizi ipi ni nzuri kati ya 8 na 8 plus.nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.