Suala LA huyu jamaa kuhusu kiingereza cha raid halina mashiko kabisa sisi woye kuna makosa mengi tu tunayafanya tukifikiri tuko sawa kikubwa ni kueleweka tu tunaomba atuongoze vizuri vipi kama angeongea English vizuri alafu awe kiongozi mbaya ingekuwaje? Mi nafikiri tunahitaji kiongozi mzuri na...
Kipanya anamaanisha kuwa safari haitakuwa rahisi ila chama kitaendelea kama angemaanisha chama kufa labfa kungekuwa na korongo kubwa kiasi kwamba si rahisi gari kupita
Kipanya yawezekana akamaanisha 2020 itakuwa ngumu kwa chadema na kuwa wajipange lakini he kama basis hill litakuwa na uwezo wa kupanda huo mlima itakuwaje?
Mi ni mwanaume nina watoto wawili mmoja wa kike na mwingine wa kiume nina miaka 42 ninaishi mwanza natafuta rafiki hasa wa kike kati ya miaka 35 na 40.
Tusilaumu alichokileta yawezekana ndo alichokipata mwenye maoni ya upande wa pili atujuze pia au kama kuna mtu aliyekuwepo atuambie kilichotokea tusiwe wepesi wa kijudge tu
Ukiondoa vyeo vyao wanabaki kuwa watanzania na sioni haja ya kuwa na tofauti hizi ninazoziona kinondoni na mwanza, na jambo hili likifumbiwa macho litakuwa janga baadae, uongozi ni busara kwani shughuli kubwa ni maamuzi kwa manufaa ya waongozwa na taifa.
Kulinhana na taratibu za uchaguzi kila mgombea atakuwa na wakala kwa hiyo katika sehemu nyingi kutakuwa na zaidi ya wakala mmoja ambaue atawakilisha wagombea wa vyama ndani ya ukawa labda sehemu chache ambazo ni chadema tupu kwa hiyo uwepo wa wakala zaidi ya mmoja wa ukawa itasaidia pia
wote waliosoma kabla ya vyama vingi haimaanishi wasiseme chochote kinachoenda vibaya katika nchi, nafikiri wanaothubutu kusema wanafanya vizuri, ni mbaya kukaa kimya wakati ukijua kuwa kuna jambo haliendi vizuri. mi nafikiri waliosoma enzi hizo walisomeshwa na taifa na si CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.