Mungu amtetee apone mapema. Ila mtoa mada kwanini unashusha pesa yetu dhamani hivyo?? Dola 20,000.00 mbona hazidi milioni 46? hizo million 50 umetoa wapi?
Hongera kaka. Nilishiriki Bagamoyo half marathon, ilikuwa nzuri sana, aliyemaliza ndani ya muda alipata medal. Sikuona mapungufu mengi na tulianza mapema. Waliokimbia 5km na 10km hawakupata medal. Hata hyo hawakutakiwa kupewa medal wote, wangetoa kwa 21 na 42 km tuu
Mkuu unamaanisha huyu jamaa asifanye kazi ingine ni mazoezi tuu?Kumbuka mambo mengine yanatakiwa yaendelee pia. Afanye mazoezi kiasi na control aina ya chakula atapungua tuu.
Pesa unayokatwa kwenda REA ndo inatumika kupeleka umeme vijijini. EWURA ni regulator wa umeme na maji, hivyo anapata pesa ya kujiendesha kupitia hayo makato.
Kibatari kinawashwa nyumbani mwako, wewe unakuja huku JF kuomba msaada. Unamuogopa mke wako?kwanini usizime?wewe ni mume wake kweli??Aiseee hizi familia hizi.....
labda analala vibaya hapati hewa ya kutosha. Badilisheni mfumo wa kula, kuleni chakula kabla ya 2, then mnakaa kama 2hrs kabla ya kulala, anywe maji mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.