Hata huku Arusha limeonekana maeneo ya kikatiti nimejaribu kuwauliza wenyeji wakanambia ni vumbi na ni kwel nimelishuhudia vumbi jingi sana likitokea maeneo ya KIA
Hivi ni kweli Rweyemamu anaamini maisha ya mtanzania yanakua mazuri kila kukicha, kama serikali inaamini ivo kupitia kwa msemaji wake basi watanzania tuelewe ya kuwa serikali yetu haifanyi chochote kututoa katika wimbi hili zito la umasikini
Haijarishi sh ngap imetumika huko, kwa kura walizopata CDM ni ushindi tosha kwn kulikua hakuna ngome yoyote pale, lakin ujumbe umefika kwa CCM kuwa mwisho wao umefika na sisi vijana tunaiunga mkono CDM Kwa moyo wote, we hope one day tutafika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.