Na sasa anacheza reality series ya usafirishaji wa nafaka aina ya "sembe marufuku" huko China baada ya kufanya vizuri kwenye she got a gwan ya Ngwair,Nataka kulewa ya Diamond na kuwa na jina zuri la lady Boss!!
Zitto siasa unazozifanya sasa ni za kipuuzi,kila mwanasiasa mwenye jina akitumia ukabila itakuwaje??!! Soon utaanza kuhubiri udini halafu kuna mijitu inakuita msomi na una akili!!! Hakika inazidi kutamalaki kupitia matendo yako na wenzio kuwa wewe ni mzandiki!!!
Ndio new jf hii,sipati picha 2015 kampeni zikianza itakuwaje,wengine itabidi tuhamie MMU kuepuka kufungiwa hovyo kwa kusema ukweli usiopendwa na wenye funguo na wadau wao!!
January na wanasiasa wengine wenye uroho na madaraka na ukwasi waache kuwafanya Watanzania wote ni wapumbavu kwa kuweka kakipande hariri na pia ipo wazi kabisa kuwa wapambe wa January wanaotumika na kusherehesha vikao hivyo vya kuvizia madaraka ndio huanza kuongea kwa kumwombea mtu wao uungwaji...
Hii nchi imekuwa kama ya kimafia na uhuni umekubuhu na huenda ni kweli watawala wanafanya hii biashara kama Kapuya alivyonukuliwa kuwa watoto wao wanauza sembe la Pakistan na Brazil na hakuna wa kuwakamata kwani wao ndio wenye nchi hii!!
Kikwete na utawala wako wakin!a Said Mwema inabidi mbebe...
Sasa wewe wa godauni sijui yard ndio unaua band!!! Kuna sheria kule Zenji kuwa wanaume wavaa hereni na cheni wakamatwe- Le mutuz na vidani vyake aishie kupigia picha huku huku bara maana zenji watambonya kizenji kwa kuvunja sheria!!
Kama hakika Mkuu wewe ni muumini wa demokrasia na kweli basi kwanza jibu maswali yangu kwani nimeanza kukuuliza na pia ukweli upo wazi kuwa thread yako imelalia kwa nani japo hujamtaja kwani humu hamna mtoto anayebonyabonya keyboards/burton kama toy ya mtoto,Mkuu majibu tafadhali kwani...
Kama hakika Mkuu wewe ni muumini wa demokrasia na kweli basi kwanza jibu maswali yangu kwani nimeanza kukuuliza na pia ukweli upo wazi kuwa thread yako imelalia kwa nani japo hujamtaja kwani humu hamna mtoto anayebonyabonya keyboards/burton kama toy ya mtoto,Mkuu majibu tafadhali kwani...
Mkuu bora ya hao verified users ids wanaotoa mawazo yao waziwazi kuliko watu kama Tamu Chungu,Mkigoma,Ifeero,Adharusi etc ambao wanatukana viongozi wa CHADEMA kwa kujificha kwa chaka la fake ids na ambao dhahiri ukiangalia wanamtumikia Zitto!
Leo Zitto anahubiri ataenda kokote kwenye...
Huyu Pinda kama ni msafi na mpenda uchapa kazi alipaswa kujiuzulu miaka mitatu iliyopita kama kukaa mbali na utawala ambao unalalamikiwa na hata na chama tawala chenyewe!!
Mabaraza yanavunjwa kwa kashifa,waziri mkuu yupo,anapinga matumizi ya mashangingi wakati waziri Mkuu nae ana...
Someni MAWIO la leo 26 December na muunganishe dots,kila kitu kiko uchi,ila Zitto ana roho ngumu au tuite ujeuri??!! Sioni hata chembe ya elimu yake katika utetezi wake na hata mbinu sana sana anazidi kujianika na kuaibika!! Sishangai akifukuzwa CHADEMA kwani anasitahili,sitashangaa akienda CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.