I bid farewell to our role model and hero MADIBA tunafurahia maisha yako ya upiganaji na ushujaa dunia na Binguni unaenda kuketi kwenye kiti cha enzi.
Wasio waungwana hakuna sababu ya kubeza salaam za mh Rais. Msiba wa Mzee Mandela ni wa ulimwengu sasa nyie vichenchede mnauliza swala la...
Siasa ya nchi hii bado changa sana, watu mnatafuta ukombozi alafu pia unaleta mada zenye kuleta migongano ACHA KABISA safari ya nchi hii bado ndefu sana, tafadhali usiturudishe nyuma yote uliyoongea inadhihirisha wazi wewe upo kimasalhi zaid. na huyu mtu yupo ndani ya system japo hana taarifa...
kiduku wewe ndio wale ambao huwa mnapewa takrima ya kofia na tshirt kisha unauza shahada yako ya kupiga kura, mtu kama wewe unayetumia teknohama bado unaleta hoja za ajabu hivi unashindwa hata na bibi na babu yako walioko kijijini tena watu wa mwaka 47 wanaelewa nini kinaendelea ndani ya...
Atakuwa na wakati mgumu sana wa kuwatumikia wananchi wake kama hakubaliki namshauri afanyie kazi PR yake, kwa kuanzia nakushari uhamishie maisha yako igunga, kumbuka 2015 mwigulu mchemba hatakuwepo utakufa peke yako. KAZI KWAKO
Mh. Mbowe as soon as we complete mourning activities let the public know what transpiried on your talks with president, otherwise I smell reputation risk and luck of trustworth,we are waiting hatutadanganya kama scandal za politicians wengine zilivyopotea kutokana na kikombe chbabu samunge
Kama alivyokuwa Mh. Regia ndio vijana wote wanapashwa kuishi maisha ya kila siku, nashawishi uanzishwe mkakati ambao vijana wengi watafundishwa jinsi ya kulitumikia taifa. Marehemu alikuwa na ujasiri sifa yake kubwa na uwezo wa kuthubutu kufanya jambo kwa maslahi na maendeleo ya taifa...
'Home of great thinkers' hawazungumzii hoja ambazo hazina maslahi kwa jamii. huyu aliyeleta hii hoja ana chuki binafsi na slaa na jose, therefore msichangie kumuunga mkono kwani mnamsaidia kukuza ujinga wake. usilolijua ni usiku wa giza
The minister is a presidential appointee therefore who should be blamed by giving the Tanzanian the person whom we think does not deserve that position? these are the things you guys should strongly critisize these appointment and its not only Mulugo may be there are so many. otherwise the war...
Tunatoa salam za pole sana, kwa familia ya marehemu Mh. Regia, CHADEMA na wananchi wote wa mkoa wa morogoro na taifa kwa ujumla.
Mheshimiwa Myika tunaomba utoe giographia ya kufika msibani tabata. ili wananchi tuweze kushiriki
wakati sera ya kilimo kwanza ikiwa katika utekelezaji Mh. PM na Mrs Tunu wako ziarani Brazil kujionea na kujifunza kilimo cha kisasa ikiwa ni pamoja kutembelea viwanda vya zana za kilimo. sijui serikali inataka kuleta nini tena baada ya power tillers.ule msafara wake sijui kama kiongozi anaye...
Hali inayoendelea igunga hadi sasa ni kweli wananchi na wenye maslahi na uchaguzi huo wanashindania kushinda na kupata ubunge kwa KAFUMU au KASHINDYE au MAHONA? Au kuna lazaidi? mi nadhani sio tu hao wagombea wapate ubunge.
Mtizamo: VYAMA VYA SIASA HASA CCM NA CHADEMA WANATAKA KUOSHA MAJINA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.