Kuna demu mke wa rafiki yangu ameomba niongee na mume wake kwani hawana maelewano ndani ya nyumba. Kisa jamaa alisikia mke wake alikuwa anaandikiana sms za mapenzi na mtu mwingine na walishaenda gesti pamoja.Alivyomuuliza mkewe, mke anadai zile sms ni utani tu na kule gesti ni kweli waliingia...
Kila kitu ni mtazamo tu! Wana saikolojia washandika kuwa Ukianza kumwona mtu ni kichaa hata kama si kweli kuna siku ukimkuta anapiga chafya utakimbia huku ukithibitisha mtizamo wako. Ukiwa na mtizamo kuwa demu fulani ni malaya haya siku ukimkuta na kaka yake utasema "si unaona!"
Hata haya...
Nimebahatika kufanya utafiti kuhusu "Political Situation in Africa" na matokeo yaonyesha ngome ya vyama tawala ndizo zinazoongoza kwa kutengeneza housegirls and domestic workers pamoja na watu wafanyao kazi katika mazingira hatarishi na ujira mdogo. Je, TZ ni kweli? Je sehemu wanakotoka...
Nafikiri elimu ya haki itolewe sehemu za mashambani. Watu wameshindwa kutofautisha haki na upendeleo. Hajui mkataba wake na serikali ni upi! Unamkuta mtu hana nyumba, hana barabara, hana soko/gulio, kiwanja hakijapimwa, hana maji, hana umeme, hana simu au aina yoyote ya mawasiliano, hajasoma kwa...
Twataka maendeleo yanayosababishwa. Utasikia mtu asema wakati wa uhuru 1961 tulikuwa na chuo kimoja sasa tuna 50! Hata nchi iliyokuwa chini ya ukoloni iliweza kuwa na vyuo 50 kwa miaka 20 kama Zimbabwe (1961-1980). Mtu aonyeshe kama tungalikuwa si huru, hali ingekuwaje na sasa tu huru maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.