Wadau naomba nipeni sifa au kasoro za pajero io, kwani nimevutiwa nayo sana kwa mda mrefu na nimesha process Loan nataka kuinunua (itakuwa mara yangu ya kwanza kumiliki gari)
wadau nataka kununua Pajero ios, naomba wenye uzoefu na hii gari wanipe mazuri na mapungufu yake kwani mimi kwanye tasinia hii ya magari ni mtupu kabisa
mzee wa kijiwe;12407750]Hapana huu ni wakati wa watanzania kuamka na kukataa kuonewa , kunyanyaswa na Polisi, makanisa yote kwa sasa yapo macho kuangalia sakata hili, Gwajima hayupo pekee yake, Serikali yetu imeamua kukosana na makanisa na huu ni ushahidi wa wazi, kwa wenye macho watajua mgogoro...
Hamana kitu kinachoitwa ITILIMa mjini itilima yote ni chaka tu..... labada kidogo shule moja inaitwa ITILIMA SEC SCHOOL ndio ipo njiani,rahisi kwenda SIMIYU MJINI nauli 1000 kwa basi
Wachache sana kati yao wanaoweza kuingiza net profit ya Tshs 220,000(300,000-80,000) kwa siku kupitia shughuli zao halali pengine wasiwepo kabisa, hivyo Tshs 300,000 ni mshiko mrefu sana kwa siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.