Baada ya watumishi wapatao 9932 kutumbuliwa kutokana na kuwa na vyeti fake, taarifa za uhakika tulizozipaa kutokana na uchunguzi tuliofanya zinaonyesha kuwa watumishinwengi kwenye ngazi ya Halmashauri waliokuwa na vyeti fake vya sekondari hasa form 4 walikwepa kutumbuliwa kwa kunyofoa vyeti vyao...
Ni kweli kwenye ofisi za umma hali ni tete, watumishi wanalambana kama hawana akili. Lakini kuhusu kutoa mzigo kwa pesa sio kweli. Mizigo mbona inatolewa bure tu maana issue sio pesa. Kwa uzoefu, wanawake wanaodai pesa mara nyingi huwa sio walioajiriwa. Walioajiriwa huwa wanatoa tu mzigo bure...
Nakumbuka mwaka 1995 ndio tulipata mgombea wa kwanza mwanamke. Alikuwa ROSE RUGENDO, ingawa hakufikia hatua hiyo ya ANNA SENKORO lakini nadhani ndio mwanamke wa kwanza kugombea URAIS
MWANZILISHI WA SABATO ELLEN G. WHITE ALIUGUA KICHAA LAKINI WAO NDIO MAMA YAO. MSABATO HAWEZI KUITWA MSABATO BILA KUMTAJA ELLEN G. WHITE.
Huyo ELLEN G. WHITE INADAIWA ALIUGUA UGONJWA WA AKILI NA KIFAFA:
SOMA HII:
MENTAL ILLNESS
Canright claimed that she had a “complication of hysteria, epilepsy...
Afungiwe kwa kosa gani?
1. Yule goalkeeper wa JKT RUVU alionyesha tangu mwanzo dalili za kujiangusha kila mara ili kupoteza muda. Inaonekana lengo la JKT Ruvu lilikuwa ni kutafuta sare na sio ushindi.
2. Lile lilikuwa ni shambulizi, goalkeeper alitoka akaupanchi mpira, akaanguka wakati mpira...
Enzi hizo za 1994, maths nilipenda sana hadi nikaweka historia ya kupata A, nasikia hadi leo hawajavunja hiyo rekodi, Kwenye ratiba ya kujisomea night ilikuwa ni lazima kila siku nianze na Maths kwa saa 1 ndio nisome somo lililoko kwenye ratiba. Ndio somo pekee nililopata A, mengine B, na C tu
Someni hiyo barua vizuri, acheni mihemko na kukurupuka. Kinachokaguliwa ni VYETI VYA FORM 4, 6 NA VYETI VYA UALIMU. Ukaguzi utafanywa kwa watumishi WOTE
Kuna tetesi nimezipata hivi punde kuwa wameshindwa kulipa kodi, inasemekana walikuwa wakwepaji wazuri wa kodi ya serikali, sasa wamebanwa kulipia masafa
Kuna tatizo gani wadau maana naona Clouds fm Radio hapa Shinyanga haipatikani hewani kwa zaidi ya wiki sasa. KpKama kuna tatizo, litaisha lini?Uongozi una taarifa hizo? Au ndio imeanza kufilisika baada ya kuondokewa na watangazaji wake mahiri kama akina GERALD HANDO, PAUL JAMES na MILLARD AYO...
Hiyo mbinu ya kuangalia salary slip, vitambulisho, barua ya ajira na ile ya kuthibitishwa kazini mbona imeshindwa kuwabaini wajanja?Hapa Shinyanga kuna watumishi hewa wamekwepa huo mtego. Kwa mfano mtu alikuwa ameajiriwa kama muuguzi aliajiriwa na kupangiwa kituo cha kazi mwaka 2014 lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.