Shule ni ya serikali, kwenye utendaji wake wrote serikali inagharamia, kama unataka kutoa msaada kwa nini usiupeleke serikalini? Au kwa nini usitoe taarifa serikalini kuwa unaenda pale kwa kutoa A B C wao watakupa utaratibu mwafaka, unaendaje kuweka mbolea kwa shamba ambalo sio lako, na halipo...
Inamaana hii nchi / Serikali wanaotakiwa kuongezwa mishahara, motisha nk ni vyombo vya ulinzi na usalama pekee? kwakweli macho na masikio ni mei mosi, hii hali inatisha na ni Bomu linalofukuta kimyakimya tujipe muda
Yesu alimfufua Lazaro, ila hakumfufua hivi hivi, kwanza alimuacha mpaka akaoza na kutoa harufu, pili maombi yake hayakuwa ya bei rahisi, Biblia inasema Yesu alilia!! Aliomba na kumuita Lazaro, Lazaro alipotoka watu walikimbia
Huwezi ukachukua chafu ukaiweka kwenye safi, ile safi ikabaki safi, hizo mambo za good governance, mimba shuleni, cybercrime act, nk hiyo ni kichaka cha kujifichia ila dhumuni lao ni tukubali ushoga,
Kazi kubwa ya Shetani, ni kudanganya.. Hapa naona hata Chama kile kimeengia chaka kinatetea...
Hapo kwenye makadirio wenyewe wanaita Provisional Tax nilikadiriwa kwa mwaka 1.2ml Mtaji nilijaza 1.5ml wakanipa slips za kwenda kulipa, TIN walikataa kunipa mpaka nilipe hiyo niliyokadiriwa na Mhasibu, nikalipa robo ambayo ni 300,000 nikapewa TIN ila nikamtuma mwenzangu afuatilie Tax Clearance...
Nchi hii ina miamala mitatu, kuna muamala wa serikali, Bunge na Mahakama.. Muamala wa serikali ndio mkuu uko mmoja tu, upo pale magogoni feri na sasa unahamia Dodoma,
ndio maana chama hakijengi ofisi, wala mradi wa maendeleo, kinachojua ni kukopa kwa freeman, na kupanga kwa mtei, chama kazi yake kubwa ni kukopa na kulipana.. Na mwisho hakutakuwa na Salio la kupeleka kwa wasiojiweza zaidi ya madeni
utabaki na nani? Mpaka kufika 2020 ile ofisi ya ufipa mnayoiita makao makuu itakuwa ofisi ya CCM tawi la Ufipa, muda ni wakati mzuri sana.. Pambana mdogo wangu
Lissu alisema, mchanga tutauachia... Na kama nabii vile risasi zikamhusu ila Mungu akasema hutakufa neno lazima litimie,
Tusubiri tutangaziwe mchanga umeachiwa.. Na jamaa (wanaume) hawalipi chochote zaidi ya kilichokuwa kwenye mkataba wa 1995/96 na ule aliousaini Karamagi hotelini uingereza wa...
Ni
Kweli ila something is better than nothing, tulikuwa tumeridhika, jamaa licha ya kuwa anajua waliofanya yote ni chama chake na kwa wakati ule hakuwa na nguvu ya kufanya lolote, na pia akijua wazi, kuna vitisho vya kufungiwa sijui mahakama za kimataifa nk,
ALIJITOSA!
Inawezekana Trilion...
Shida sio kubomoa mwenyewe, shida ni pahala pa kujenga, fundi wa kukujengea analipwa na nani? Au ukibomoa mwenyewe Tanroads watakupa mafundi? Watakupa siminti, watakupa hizo tofali za ziada 40%?
Usimuige Lukuvi, hafanani na asilimia 90 ya waliobomolewa pale,..
Kama na wewe nyumba yako ingekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.