We may comeup with lots of suggestions here and i'd like that BUT we have been suggesting daily n here is not the bigining, the issue is we have never seen our ideas are being dealt with or practically implemented. So do you think this forum will be special and fruitful?
Mada yako imejaribu kugusa suala lilivo ila utakubaliana na mm kua impact kubwa kwa watanzania inapatikana kwenye muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba mpya zaidi ya muswada wa manunuzi ya umma ambao pia bunge kupitia nguvu kubwa ya ccm iliyoko bungeni walipitisha kitu ambacho madhara yake...
yani serikali yetu hata mamabo madogo kabisa wanataka kuyayumbisha, suala la kusoma kwa mara ya kwanza ndo tunalotaka ili kila mwananchi aweze kupata nafasi yake katika kupitisha muswada. tanzania vipi jamani
Watu wanaozungumzia pafomanc ya kiongoz nje ya jimbo ni ulimbukeni unawasumbua, naunga mkono aliyesema wapande basi warudi nyumbani wakaulize nini na kipi kimefanyika kwa sababu kuna watu wengine cjui wakoje.
Hivi mnafikiri jimbo litapakwa rangi ili mjue kuna kitu mbunge amefanya? Na ndani ya...
alichokileza waziri mkuu ni viseversa yan unaongea bungeni unasema nafikiri au kwa ulivosikia, kama umeweka kichwani na kuongozwa na maneno ya pinda utakua na matatizo makubwa sana ya akili.
nawaamini sana kina baba, kaka, mama, na dada zangu pia wadogo wangu mlio nyumbani rombo chochote mnachokifanya mna sapoti yetu tulio mbali kidogo hata huku tunafanya harakati za kupambana na huyu mfalme juha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.