Search results

  1. N

    Msaada kuingiza internet kwenye simu.

    Asanteni wakuu msaada wenu umenifaa. Karibuni sana saranga.
  2. N

    Msaada kuingiza internet kwenye simu.

    Wadau nina simu aina ya itel ina android nataka kutumia intrrnet kupitia line ya tigo naomba mnisaidie kujaza maelezo yafuatayo: Name. APN. Proxy. Port. Username. Password. Server. Mmsc. MNC. Authentification type.APN type.APN protocal. Nitashukuru kwa msaada wenu
  3. N

    Fanya hivi ili uweze kukwamuka umasikini

    Asante kwa elimu nzuri kuhusu ufugaji wa supu nitaifanyia kazi soon.
  4. N

    mottor and dynamo kwa umeme wa bure

    kama umeweza kuwa na dynamo nakushauri ujaribu umeme wa uupepo,siyo ule wa mnara mrefu utakugharimu ku erect mnara,nazungumzia ule wa kutumia pipa lililokatwa kwa urefu nakutegwa kuwa turbine ambayo ikipigwa na upepo inazungusha dynamo ambayo itafua umeme kwa ajili ya kuchaji betri . Ukiwa...
  5. N

    Tenga anaua soka la Tanzania

    Naomba tutengeneze kitu hapa chenye kufanana na balance sheet,upande wa kushoto tujaze mambo mazuri aliyoweza kuyafanya na upande wa kulia tujaze mapungufu na madhaifu yake and then tuangalie upande upi nimzito zaidi na ndipo tupate conclusion.
  6. N

    Pata Maujanja kwa PC Zisizo na RAM kubwa

    Mkuu asante kwa elimu.naomba nikuulize swali lililo nje ya mada! Je nahitaji kuwa na pc yenye uwezo gani ili kufanya graphic designing kwa cs4 au cs5? natanguliza wingi wa asante hata kabla sijajibiwa.
  7. N

    Je wajua Kua Hutokea Mara Moja Kila Baada ya Miaka 824

    mkuu nyabhingi hupendi kwenda kazini?
  8. N

    Vyombo vya habari ( tv na radio) vya leo VINAKERA.

    Jaribu radio tumaini hawana uroho wa matangazo.
  9. N

    The best novel

    Mkuu Hiyo ni novel au movie? Hebu tuweke sawa
  10. N

    Mwinyi na Michael Jackson

    "Welcome king of pops to Tanzania,please feel at home!" "Thank you Mr.president it is my pleasure to be here......"
  11. N

    Picha; hizi ndizo barabara za hatari zaidi duniani, tazama...

    Kwa hapa Tz barabara hatari zaidi ni ile itokayo chimala Mbeya kuelekea Matamba barabara hutoisahau lpo kwenye mlima mkali madereva waliowengi katika mji kama Dar hawawezi kupanda mlima huo,una kona 52,kona maarufu zaidi imepewa jina inaitwa Mwadangala Nikona ambayo ukiwa na roho nyepesi inabidi...
  12. N

    'Idi Amin Hakuwa Muuaji, Mla Nyama za Watu' - Rais wa Venezuela

    Moja ya consiquency za uchafuzi wa mazingira ni mchafuko wa ajili za baadhi ya binadamu waishio katika sayari ya dunia na ukitaka kuprove hilo nipale unaposhuhudia watu wakimtetea mtu kama Idi Amin.ushabiki mwingine haina hata kichwa.ni bora kama mtu haina cha kuchangia akae kimya!
  13. N

    Itakuwaje wasiokuwa Wakristo wala Waislam watakapoamua kudai haki zao

    Not true brother Christianity and rastafarian are two different things,there difference is that of diesel and milk,it is better to use other example not the one you have used.
  14. N

    What is your unforgettable movie?

    kichwa cha habari kimesema utaje movie ambayo hutoisahau lakini wewe umeorodhesha movie kadhaa! .kwa upande wangu movie ambayo sitaisahau ni firstblood ya silyvester Stallone alitumia jina la Rambo.
  15. N

    Nipataje dstv ya bure

    Suzan Minja acha majibu ya kukurupukahayamsaidiimuulizaji.it is better to stay quite!
Back
Top Bottom