tena mchawi jk na team yake wanaotawala pasipo ridhaa ya watawaliwa! Hebu ona mambo yanavyo mwendea vibaya, arusha, mbeya dsm! Duu! eti zenji nao wameanza kudai uhuru wao mamaweeeee!!! Karume na nyerere kama wangefufuka leo fumbi lingetimka ikulu kama siyo slaa kupewa haki yake.
Wana mbeya walikataa kuongea na kiongozi yoyote zaidi ya sugu na wakatangaza kuu sugu ndiye rais wa mbeya. Nakushangaa wewe unayesema eti sugu angepitia wapi? Kweli wewe umelala fofofo kama jina lako lilivyo, na pia umelalia hengover za uccm.
"MWITA MATTEO acha dharau ndg yangu, wagogo wa leo siyo wale wa enzi za Malecela. Juzi nilikuwa dodoma nikafanikiwa kutembelea vijiji vyote jimbo la bahi, kata 8 jimbo la mtela, kata 10 dodo mjini. Kwa taarifa yako nimeona jinsi gani watu walivyo ichoka ccm na mabadiliko makubwa janakuja! Wana...
Arusha! Mwanza! Leo Mbeya na Udsm! Kesho mabomu yatalindima ikulu!! Pole sana jk achia ngazi mapema kabla hayajakufika ya marehemu hayati the late Ghadafi.
Duuuh! Ndiyo faida ya kutawala pasi ridhaa ya watawaliwa. Nadhani huko tuendako Libiya itakuwa cha mtoto! Make taratibu watanzani wanajengeka ujasili wa ajabu na ipo siku hata hao polisi watasema basi. Kwani hata hao polisi wana maisha magumu kweli kweli! na wahitaji sana ukombozi.
"maskini Zuma! Urais umekufanya kinyonga. Kweli tunashangaa ya jk mzee wa ari! Nguvu! Na kasi mpya sasa tunayaona ya Zuma! Hawa jamaa wanafiki kweli kweli. Tuna muombea j,malema asikate taama, ahame anc ukombozi utapatikana tu
"watoto wa mafisadi mnajitahidi kweli kupotosha dhima ya harakati za ukombozi tunaoutafuta. Mtake msitake ukombozi utapatikana tu! Hahahahaaaaaa! Imekula kwenu na hao babazenu wa kufikia mafisadi mabasha wa mama zenu."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.