Uko sawa kabisa..kuna mtu hapa kasema kila mtu ana njia yake ya kurelease matatizo..... kulia ni moja wapo ya kuomba toba. ata mfalme daudi alipozini na yule mke wa mtu alifunga na kuomba huku akilia na kujigaragaza chini.
Kulia ni moja wapo ya toba. hatamitume pia walilia. Wanasema everythings happens for a reason. Majaribu na magumu saa ingine unayapata kama adhabu au malipizi ya mabaya unayoyafanya au uliyoyafanya wewe au hata wazazi wako. (Laana.)
Wakati mwingine najifungiaga ndani nikimshukuru Mungu kwa kufikiria mambo mengi sana yaliyonitokea katika Safari yangu hii ya Maisha mazuri, mabaya sikuwai kukata tamaa.
Kuna vijana wenzangu wengi wanapitia magumu mengi ya maisha kama mimi niliyopitia. Unaweza ukawa unaumizwa kwenye mapenzi...
Kuna dada mmoja alishawai kucoment huku simkumbuki alisema hivi " mnatutia aibu sana waume zetu, tunajua kabisa hamuwezi kitu kitandani bao moja tu tena la sekunde, alafu kila siku mnachepuka. akamalizia akisema " sisi wake zenu ndio tunaona aibu" mwisho wa kumnukuu.
Nakumbuka kuna siku tulienda kwenye harusi moja hivi. Sasa ikafika wakati wa baba wa bibi harusi kutoa nasaha.......aisee yule mzee alikua analia mpaka kwikwi, nilicheka sana......njia nzima tunarudi nyumbani mimi nikimkumbuka yule mzee nilikua nacheka mpaka wife akawa anakereka.......wanasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.