Search results

  1. F

    NMB waongeza kiwango cha mikopo kwa watumishi wa umma

    bro,wameongeza na wananunua deni ulilo kopa kwenye taasisi zingine za fedha,tembelea tawi lolote ukapate maelezo zaidi.
  2. F

    Hivi inawezekana msichana ukasafiri kumfata mwanaume usiemjua hujawahi kumuona live? Online dating..

    kama vipi mwambie akutembelee we na umpe hela ya nauli kama alivyo kupa yeye!
  3. F

    Nimempata humuhumu jf..Amenikoleza

    nitaje,nitambulishe dia hakuna wasi!
  4. F

    Natafuta msichana mzuri km erotica nioe!

    nikimpata milele nitafurahi,nitaimba nakupenda mpakka mwisho wa uhai!
  5. F

    Natafuta msichana mzuri km erotica nioe!

    mi mwenyewe wa ukweli,kitu genuine kutoka kwa sir God, vp upo tayari?
  6. F

    Natafuta msichana mzuri km erotica nioe!

    Mi ni kijana rijali,natafuta msichana ili tukielewana awe mke wangu wa ndoa, awe mkristo,mzuri,co wa kichina, muelewa na mvumilivu katika maisha! Ni haya tu wanajamii, atakayependezwa naomba ani PM, ucku mwema!
  7. F

    aaaargh love why me !

    Huna hela,huna nguvu hata sound huna! Pole!
  8. F

    Tabiri nyine ni zaidi ya uhalisia

    mzee man u watabirike wasitabirike, washinde mechi zote na man city wanashinda mechi zote,mwisho bingwa man city!
  9. F

    Gari inauzwa tsh mill 9

    poa, bro ntajitaidi niweke picha!
  10. F

    Gari inauzwa tsh mill 9

    Km ngapi sijaelewa,kama bei nishaitaja na maelewano yapo baada ya kuiona,ni gari ya kupanda na kuondoka nayo tu!
  11. F

    Gari inauzwa tsh mill 9

    Dark blue,milango mitano, picha nimeshindwa kuweka natumia wana jamii, gari ipo uhakika!
  12. F

    Gari inauzwa tsh mill 9

    Bro nimechemka kuweka picha ila iko fresh inatembea km ukitaka kuiona we nipigie tu utaiona!
  13. F

    Gari inauzwa tsh mill 9

    Gari aina ya Rv 4 T311 AFL inauzwa kwa bei nafuu million 9 maelewano yapo! No za simu 0716 21 61 29.
  14. F

    kwa wakaka wa kitanzania tu

    Gari ni asset kama asset zingine,nikipigika nauza napata changu, kuaribika hata nyumba inaweza kusombwa na mafuriko then ukaumia,jua jinsi ya kutumia gari ili maisha yaendelee! Narrow minded!
  15. F

    Naachwa kisa ni Dini

    Dah! Nilikimbiwa akasingizizia sikuwa nampigia simu,akampata mwanaumw wa dini yake akaolewa naye fasta,mzee nikakosa hivi hivi!
  16. F

    kumbe wahindi nao wanatutamani

    Wanapenda tigo hao,shauri yako!
  17. F

    Mbowe atoboa siri

    Pamoja mbowe,wewe mbele cc nyuma yako,magamba lazima yavuke!
Back
Top Bottom